Miaka 50 ya uhuru:wagonjwa wodini

KELVIN GASPER

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
1,066
Reaction score
454
Wakuu kauli mbiu ya miaka 50 ya uhuru. angalieni wagonjwa wapo wodini katika zahanati ya kisaki wilayani mbulu. Hivi mbunge wa jimbo hili ni nani? na ni wa chama gani? safari ya kuelekea maisha bora bado ni ndoto.
 

Attachments

  • WAGONJWA_ZAHANATI_KISAKI1_.jpg
    31.5 KB · Views: 85
Wakuu kauli mbiu ya miaka 50 ya uhuru. angalieni wagonjwa wapo wodini katika zahanati ya kisaki wilayani mbulu. Hivi mbunge wa jimbo hili ni nani? na ni wa chama gani? safari ya kuelekea maisha bora bado ni ndoto.

Mbulu imekuwa na Mbunge Philip Marmo kwa miaka 25 kwa CCM na mwaka jana wambulu wameamua kumtema kwa aibu na kumchagua mchungaji Natse kwa CHADEMA.
 
Mbulu imekuwa na Mbunge Philip Marmo kwa miaka 25 kwa CCM na mwaka jana wambulu wameamua kumtema kwa aibu na kumchagua mchungaji Natse kwa CHADEMA.

Hivi ni NATSE ama MUSTAFA AKUNAY?
 
Hakuna serikali Mbulu.
 
Mbulu imekuwa na Mbunge Philip Marmo kwa miaka 25 kwa CCM na mwaka jana wambulu wameamua kumtema kwa aibu na kumchagua mchungaji Natse kwa CHADEMA.

Siyo Natse nahisi ni Mustapha Akonaay wa CDM kama sikosei!Natse ni wa karatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…