Tanganyika1
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 422
- 86
Leo imeniuma sana. Umeme umekatika tangu saa 11 jioni, nimeuliza tanga hakuna umeme, dar giza, dodoma, morogoro pia gizani. Nadhani ni issue ya nchi nzima. Hv tunaelekea wapi jamani?
Leo imeniuma sana. Umeme umekatika tangu saa 11 jioni, nimeuliza tanga hakuna umeme, dar giza, dodoma, morogoro pia gizani. Nadhani ni issue ya nchi nzima. Hv tunaelekea wapi jamani?
Check well, hapo kwenye red hawatumii grid ya Taifa....... Niliwasiliana na Mbeya, pia walikuwa gizani kwa muda mrefu leo.Ni nchi nzima kweli, nimewasiliana na watu Mwanza, Arusha na Ruvuma kote hamna umeme, kweli Tanzania bila umeme INAWEZEKANA.