Miaka 50 na Tanzania yangu

Miaka 50 na Tanzania yangu

Steph kabs

Member
Joined
May 16, 2013
Posts
7
Reaction score
1
Umri wangu haujafika hata nusu ya miaka ya nchi yangu nimeshuhudia maendeleo makubwa sana ndani ya nchi yangu. Naishukuru CCM Kwa kunisaidia kufika hapa nilipo. Vijana wengi wa leo tunathubutu kusema kuwa CCM haijatufanyia lolote. Napenda kusema hapana kwani CCM imenipa haya yafuatayo na ninajivuni:
  1. IMENIPA UHURU WA KWELI INAMAANA IMENIKOMBOA NA UTUMWA
  2. NI CHAMA PEKEE CHENYE MAANA HALISI YA DEMOKRASIA NA INATEKELEZA
  3. IMENIPA DRASTIC CHANGES WITHIN THE DAYS I HAVE EXISTED
  4. NAISHI KWA AMANI NA HURU

CCM-TANU NA ASP
 
Umri wangu haujafika hata nusu ya miaka ya nchi yangu nimeshuhudia maendeleo makubwa sana ndani ya nchi yangu. Naishukuru CCM Kwa kunisaidia kufika hapa nilipo. Vijana wengi wa leo tunathubutu kusema kuwa CCM haijatufanyia lolote. Napenda kusema hapana kwani CCM imenipa haya yafuatayo na ninajivuni:
  1. IMENIPA UHURU WA KWELI INAMAANA IMENIKOMBOA NA UTUMWA
  2. NI CHAMA PEKEE CHENYE MAANA HALISI YA DEMOKRASIA NA INATEKELEZA
  3. IMENIPA DRASTIC CHANGES WITHIN THE DAYS I HAVE EXISTED
  4. NAISHI KWA AMANI NA HURU

CCM-TANU NA ASP

Hongera mkuu...
Karibu JF...
Umesema una umri gani ??
Kwa jinsi ulivyoandika, naona lazima utakuwa na umri kama wa huyu jamaa hapa...!!!

ridhiwani-kikwete.jpg
 
mkuu ni kweli una uhuru wa kusema ila ni kwa wewe unaejua kubonyeza keyboard na mouse siyo yule mwananchi wa Loliondo,kenyamanyori,tandahimba nk ambayo kwao hawajui hata katiba kua nini hakika tunapozungumzia uhuru tunamaanisha vitu vingi badilika.
 
Umri wangu haujafika hata nusu ya miaka ya nchi yangu nimeshuhudia maendeleo makubwa sana ndani ya nchi yangu. Naishukuru CCM Kwa kunisaidia kufika hapa nilipo. Vijana wengi wa leo tunathubutu kusema kuwa CCM haijatufanyia lolote. Napenda kusema hapana kwani CCM imenipa haya yafuatayo na ninajivuni:
  1. IMENIPA UHURU WA KWELI INAMAANA IMENIKOMBOA NA UTUMWA
  2. NI CHAMA PEKEE CHENYE MAANA HALISI YA DEMOKRASIA NA INATEKELEZA
  3. IMENIPA DRASTIC CHANGES WITHIN THE DAYS I HAVE EXISTED
  4. NAISHI KWA AMANI NA HURU

CCM-TANU NA ASP

ok sio mbaya km unaridhika na mambo, endelea kuisifia mkuu!!!!
 
Vp kuhusu wale vijana wasom waliopo mtaan hawana ajra hyo ccm haiwaön.hundred percent ww n mtoto wa wale wanyonyaj wa nchi ye2.endelea kuicfia ccm sie vijana wenye uchungu wa nch ye2 tunafanya mabadiliko il kuleta maisha bora halic kwa kla mtz.God blec tz.
 
Niliambiwa kuwa nikiwa mahali popote ninapo pata nafasi ya kusoma au kufanya jambo nilifnye to my epic yaani nilifanye vizuri mno si kufanya jambo ilimradi nimelifanya ilihali baadae nitakaposhindwa niweze kujijua nilikosea wapi na nijisahihishe vyema...... Lakini hii ni tofauti sana kwa vijana wa kipindi hiki ambao hufanya mambo kwa kubahatisha, bila kujali na wengi tumekalia kukosoa hatupo teyai kujifanyia mabadiliko kwa kufanya kazi kwa bidii................ Vijana tuamke tujiajiri tulipo pata nafasi tupazingatie kwa kufanya kazi kwa ufanisi... MUNGU IBARIKI AFRIKA MUNGU IBARIKI TANZANI
 
Kaka elimu tunayoitoa mahali popote inatusaidia sana. Mimi na wewe kama tunaipenda nchi yetu twende huko vijijini tutoe elimu bure na kwa kujitolea.....
 
Back
Top Bottom