Miaka 37 Vs miaka 24...

Miaka 37 Vs miaka 24...

Mkuu huwa unakimbia kilomita ngap kwa siku?
Binafs asubui nakata 10 km Au pungufu ya apo ila sijawai kuvuka 12km naamkaga Saa 11.. One hour linanitosha.. Baada ya apo naenda kwnye mishe mishe zangu..

Inshu sio unakimbia km ngap ila unazikimbia kwa muda gani. Kwa mfano kama unakimbia km 2 kwa dkk 7 bas kesho kimbia km izo izo kwa muda pungufu..

Hii app inaitwa SAMSUNG HEALTH ninayo kwnye simu so lazima nikimbie na phone

Apo jion nikicheza mpila Au nikikimbia jogging kidogo Kama nusu Saa iv . nakua poa Bila ya hivo nais Kama nimepungukiwa kitu..

Sema tu dudu ikisimama inakua ngumu balaa sometimes unaweza Adi kupasua kondom
Screenshot_20200525-165902~2.jpeg
Screenshot_20200525-165919~2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • Screenshot_20200525-165919~2.jpeg
    Screenshot_20200525-165919~2.jpeg
    22.8 KB · Views: 9
Ejaculation inachelewa sio poa.. Mpka demu Anais umepaka vumbi Au umepiga kasusu mbili.. Ili Ku mprove wrong alfajili unamkulupusha kumpa morning glory....

Hapo hana usemi tena maana alfajili kasusu unaitoa Wap na wote mlikua bed pamoja



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijasoma nimeangalia title tu:-

Nani mwenye miaka 37? na Nani ana miaka 24?
Nwanamke ni nani? Ni huyo wa 24 au 37?
Mtoa mada ndio 24 au 37?
 
Back
Top Bottom