Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,062
- 731
Siyo kila kitu alichosema Nyerere kina hold.
Siyo kila kitu alichosema Nyerere kina hold.
Kweli, kwani waasisi wa chadema walitoka CCM
Unaizungumziaje kauli hii ya Baba wa taifa Mwalimu J.K Nyerere aliyoitoa mnamo mwaka 1994.!
Kweli, kwani waasisi wa chadema walitoka CCM
toa mfano head teacher ili hoja yako ishibe zaidi
Mtei , Slaa , Masatu , Bob nk .
Wapinzan hata wazikiri uchi hawawezi pata hii nchi kamwe ccm ikipasuka upinzani utapatikana nchini
Wapinzan hata wazikiri uchi hawawezi pata hii nchi kamwe ccm ikipasuka upinzani utapatikana nchini