We jamaa kwani umri wa ujana unaanzia na kuishia miaka mingapi?
ukiwa unajipanga kukokotoa chukua hii, 1988 alikuwa na miaka16 leo 2014.
Fina MangoEnzi zake power brekfast bwana waliopo viatu vinawapwaya sana....alikuwa na binti fulani hivi jina limenitoka...walitosha na kuenea kwenye kipindi....big up masudi...ninunuapo gazeti naanza na kipanya kwanza...
MAGIC FmAlikuwa anaitwa Phina mango nasikia yupo times radio kama sikosei..anaendesha kipindi cha makutano....kifupi wote ni majembe aiseeeh tena ya nguvi(masoud &Phina mango)
Fina Mango
Naomba kujua ID ya Masoud ya jf
Ni mimi
Sio.....