Miaka 15 tukiwa Ikulu. Inshallah

Miaka 15 tukiwa Ikulu. Inshallah

Mzanzibari anaweza kuwa Mkuu wa wilaya ndani ya ardhi ya Tanganyika ila Mtanganyika hawezi kuwa hata Mtendaji wa Kata huko Zanzibar,,
Mpemba anaweza kuchaguliwa akawa Diwani, Mbunge au Rais huku Bara,, ila wewe Mnyamwezi huwezi hata penya Kura ya Maoni huko Zanzibar...
 
Hongereni, wagalatia wanakwama kwa sababu ya ubinafsi wa Kanisa. Wanaona ili waendelee kuila na kuitafuna nchi hii lazima Waccompromise na wavaa kobazi. Na wavaa kobazi wanajua kabisa akili za kuongoza hawana lakini lazima wapewe tu hijo hiyo.Ndiyo maana wakiongoza fulu kufuja mirathi. Matatizo ya Nchi hii mzizi ni ubinafsi wa Kanisa.
 
Mzanzibari anaweza kuwa Mkuu wa wilaya ndani ya ardhi ya Tanganyika ila Mtanganyika hawezi kuwa hata Mtendaji wa Kata huko Zanzibar,,
Mpemba anaweza kuchaguliwa akawa Diwani, Mbunge au Rais huku Bara,, ila wewe Mnyamwezi huwezi hata penya Kura ya Maoni huko Zanzibar...
Hakuna Tanganyika,nioneshe ofisi ya serikali ya Tanganyika
 
Hongereni, wagalatia wanakwama kwa sababu ya ubinafsi wa Kanisa. Wanaona ili waendelee kuila na kuitafuna nchi hii lazima Waccompromise na wavaa kobazi. Na wavaa kobazi wanajua kabisa akili za kuongoza hawana lakini lazima wapewe tu hijo hiyo.Ndiyo maana wakiongoza fulu kufuja mirathi. Matatizo ya Nchi hii mzizi ni ubinafsi wa Kanisa.
Njaa na viraka-nyerere,ukosefu wa kipato na ufisadi-mkapa, ufisadi,udikteta uchwara,kuua uchumi-magu
 
Hivi ni rekodi ambayo haitakuja kuwekwa hivi karibuni tangu demokrasia ya vyama vingi mwaka 1992. Tutamaliza salama miaka 25 kibindoni tukiwa Ikulu. Inshallah!
Haha umeona jibu lako ulilonijibu mwenye thread ulianzishie uzi kabisa. We pray for Dkt Samia ila ahakikishe maslahi ya wapiga kura anayazingatia na siyo kuajiri wenye majina ya kiislamu kwenye taasisi za umma halafu wanaenda na majina ya kikristo huku wanaenda msikitini. Na hii campaign ya kuifanya Tanzania dola ya kiislamu na mbinu za kutokomeza Ukristo ni mbinu chafu inaweza leta shida huko mbeleni
 
Njaa na viraka-nyerere,ukosefu wa kipato na ufisadi-mkapa, ufisadi,udikteta uchwara,kuua uchumi-magu
Usisahau wa tatu alikuta kapu tupu akalijaza, wa tano naye alikuta kapu tupu. Si unawajua wanachojua kushinda vibarazani
 
Mzanzibari anaweza kuwa Mkuu wa wilaya ndani ya ardhi ya Tanganyika ila Mtanganyika hawezi kuwa hata Mtendaji wa Kata huko Zanzibar,,
Mpemba anaweza kuchaguliwa akawa Diwani, Mbunge au Rais huku Bara,, ila wewe Mnyamwezi huwezi hata penya Kura ya Maoni huko Zanzibar...

Ukikaa ukatafakari Kwa kina kabisa Kuna wakati naona kama Nyerere alijichosha tu kupigania uhuru Kwa watu ambao hata hawana uwezo wa kujiongoza
 
Back
Top Bottom