Mi nawaambia TIGO wanatuibia!

Cool

Senior Member
Aug 5, 2009
109
46
Jana nilikuwa na salio la 250/= kumpigia jamaa wa namba ya tigo baada ya dakika 1.01 salio limekwisha DU!
 
eti siku hizi ukimpigia mtu halafu hapatikani lakini unasikilizishwa new song ya marlaw...kha? hawa jamaa wanalazimisha promo
wamekua fake sana...mi nahama huu mtandao
 
Jana nilikuwa na salio la 250/= kumpigia jamaa wa namba ya tigo baada ya dakika 1.01 salio limekwisha DU!

bora ww mie nilkuwa na 500 lkn nkpga simu wananiambia salio halitoshi
 
Ni kweli kabisa,hata mimi nishawahi kuweka 1000 Kuongea na tigo dakika tatu pesa ikaisha.wezi wakubwa.na kuna siku nilituma maombi ya kujiunga na xtreem ya sms 100 na dk tano,ilikuwa sh.400wakanikata pesa na hawakuniunganisha
 
hata wafanye dakika buku tigo sihami ng'oooooooooooo hameni nyie wakuja mnaokurupuka tigo ndo kawazaa wote hao voda airtel celtel zain tritel sasatel
 
Inatubidi tuanzishe chama cha kutetea watumiaji wa vyombo vya mawasiliano, wakituzingua tunatumia chama kuwapigia kelele hatutaki unyanyasaji usio na taarifa!
 
hata wafanye dakika buku tigo sihami ng'oooooooooooo hameni nyie wakuja mnaokurupuka tigo ndo kawazaa wote hao voda airtel celtel zain tritel sasatel


Usiwe mvivu wa kufikiri,kuwa wa kwanza kwenye biashara hailalishi Wizi wao,jana mm nilikuwa na 1060 nikaongea dakika 4 tu tena tigo kwenda tigo na hela imekata,sasa nina salio La ths 610 nikipiga naambiwa "U are out of balance",these are ******,NAHAMA,MWISHO LEO KUTUMIA HUU MTANDAO WA MAJAMBAZI!!
 
eti siku hizi ukimpigia mtu halafu hapatikani lakini unasikilizishwa new song ya marlaw...kha? hawa jamaa wanalazimisha promo
wamekua fake sana...mi nahama huu mtandao


kweli kabisaa, unaweza kumpiga jamaa hapatikani, sasa badala ya kutoa message jamaa hapatikani, wanaanza kukupatia manyimbo ya promo kama kwamba ndo inaita kumbe hapatikani mtu mwenyewe. Unakuwa umepoteza muda tu kusikiliza promo kwa lazima
 
Jamani AIRTEL ndo wamezidi, karibu mwezi sasa makato yao ni zaidi ya sh2 kwa sekunde, halafu jirushe wanagoma kujiunga
 
Jamani uko bongo kwema!? tigo ndo mtandao gani tena? mm nliacha mobitel na vodacom! na airtel je?
 
Jamani uko bongo kwema!? tigo ndo mtandao gani tena? mm nliacha mobitel na vodacom! na airtel je?

Unaonyesha jinsi gani ulivyo mvivu wa kufikiri na hata kusoma maana hata mwanangu mwenye miaka mitano aliyeko Swansea anajua Tigo ni nini na Airtel ni kitu gani, sembuse kubwa zima kama wewe huoni aibu? au unaona ufahari kujidai uko abroad eti hujui kabisa yanayoendelea Tanzania? Una bahati naogopa ban!!
 
Back
Top Bottom