Mi nadhani muungano uudumishwe na uimarishwe!

Mi nadhani muungano uudumishwe na uimarishwe!

mashakaDaima

Member
Joined
May 3, 2013
Posts
38
Reaction score
5
katika maandalizi yaa uundwaji wa katiba mpya suala la kuwepo au kutokuwepo kwa muungano limekuwa ni jambo ambalo linaleta mijadala mbalimbali kwa wananchi na viongozi.

Japo kuna mapungufu na changamoto mbalimbali kuuhusu muungano basi nia wakati sasa wa kufikiri ni namna gani ya kuuboresha muungano kwa kuuvuruga muungano nia kuivuruga nchi pia.

Kwahiyo katiba mpya izingatie uboreshaji wa muungano wetu ili uweze kudumu zaidi na zaidi au mnaonaje wanaJF.

Naomba michango yenu juu ya hii mada!!
 
Njia pekee ya kudumisha muungano ni kuwa na serikali moja tu. Hakuna cha mambo ya muungano wala nini. Hofu ya kumezwa na kutaka ku-maintain identity ni kutokuwa tayari kuungana kwa maslahi mapana. Ujanja ujanja hautatufikisha popote.
 
Muungano nijambo la maana,lakini muundo wa muungano siyo na kwanini usiwe muungano wa mkataba wenye serikali tatu? na kwanini hati ya muungano ni siri hairusiwi kuonekanwa hadharani.Ni muungano gani unaondoa utaifa wa eneo moja halafu mnamwita rais wa mapinduzi huku mkijua yeye ni sawa na mkuu wa mkoa?
 
Muungano nijambo la maana,lakini muundo wa muungano siyo na kwanini usiwe muungano wa mkataba wenye serikali tatu? na kwanini hati ya muungano ni siri hairusiwi kuonekanwa hadharani.Ni muungano gani unaondoa utaifa wa eneo moja halafu mnamwita rais wa mapinduzi huku mkijua yeye ni sawa na mkuu wa mkoa?

Muungano wa mkataba ni upuuzi. Muungano wa kweli ni kuwa taifa moja. Nje ya hapo sitaki kusikia ujanja ujanja.
 
Back
Top Bottom