- Thread starter
- #21
jamani mi bao na utata kuhusu ada wakuu st. joseph ada ni2,750,000 possible loan 1,500,000.utata ni je? kunauwezekano wa kupata zaidi ya hiyo pesa au ndo muximum ya mkopo? kama upo unae soma au unafahamu kusu chuo hiki nijuze hasa kwa upande wa gharama.natanguliza shukrani kwa mchango wako.