min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 47,725
- 131,902
Naunga mkono hoja ila kuchekelea wanavyoparanganyika ni muhimu sana kwa afya ya akili🤪Viongozi wa Chadema wasiwape hao viongozi wa CCM rejected kwenye agenda zao hao ndio waasisi wauovu...
Naunga mkono hoja ila kuchekelea wanavyoparanganyika ni muhimu sana kwa afya ya akili🤪Viongozi wa Chadema wasiwape hao viongozi wa CCM rejected kwenye agenda zao hao ndio waasisi wauovu...
Leo nimekuwa chawa wa Mbowe na sio wa ccm kama mnavyosema 😂 Mbona hamueleweki?Kwani yeye Gwajima ndiye anayeteka watu? Mbona nyie machawa mpo pamoja na mbowe lwa sababu anafanya mambo mnayopenda na sisi yeyote atakaye wapelekea moto maccm tupo naye. Kitu kingine huyo jamaa alipewa ubalozi ili anyamazishwe kama umesahau basi!
punguza mukali cdm imetokea wapiKama ameweza kuwageuka wenzake, anashindwa nini kuwageuka na huko alipo sasa?
Mtu kuongea kinachokufurahisha haina maana yupo kundi moja na nyie ndo mana Gwajima anapinga utekaji/uuaji unaofanywa na ccm afu hapo hapo anasema atabaki kuwa ccm daima, sasa jiulize kwann haondoki ccm wakati amesema kuna mambo mabaya.
Yani uwe mwizi nyumbani kwenu tuu afu kwa jirani usiwe mwizi kisa ni kwa jirani? Haiwezekani.
Chadema tumieni akili.
Kama ambavyo chadema nao wanavyoparanyika mpaka wengine kuhama chama na ofisi kubadilishwa umiliki?Hatuwataki ila tunafurahi yanavyo paranganyika vita ni vita mura
Mkuu, sijakuelewa em lainisha kdg point Yako Ili nikujibupunguza mukali cdm inetokea wapi
Haswaaaa hata ccm walichekelea 😆Kama ambavyo chadema nao wanavyoparanyika mpaka wengine kuhama chama na ofisi kubadilishwa umiliki?
Ila kusema mabaya ya sehemu ulipo huwezi kufanyiwa mabaya?Mbona jibu ni easy .wanaogopa kuondoka kwasababu watasukwasukwa na viongoz wao..wataporwa mali zao...kunanwatoto ktk family baba ukizengua wanakinukisha...na hawahami wataenda wapi hapo ni kwao?ndo walipokulia ..ss hv ni movement moja dogo tulia
Kwahy n mwendo wa kuchekana? 😂Haswaaaa hata ccm walichekelea 😆
Siasa ni mchezo mchafu, kaa kimasta bwashee, uwe kama popo si mnyama wala si ndege, hakuna adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu , wewe kaza fuvu tu mangi😅Kwahy n mwendo wa kuchekana? 😂
Bc chadema wawe wapole wakimuona Mbowe anawakataa Kwenye interview huko 😂Siasa ni mchezo mchafu, kaa kimasta bwashee, uwe kama popo si mnyama wala si ndege, hakuna adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu , wewe kaza fuvu tu mangi😅
Kama ameweza kuwageuka wenzake, anashindwa nini kuwageuka na huko alipo sasa?
Mtu kuongea kinachokufurahisha haina maana yupo kundi moja na nyie ndo mana Gwajima anapinga utekaji/uuaji unaofanywa na ccm afu hapo hapo anasema atabaki kuwa ccm daima, sasa jiulize kwann haondoki ccm wakati amesema kuna mambo mabaya.
Yani uwe mwizi nyumbani kwenu tuu afu kwa jirani usiwe mwizi kisa ni kwa jirani? Haiwezekani.
Chadema tumieni akili.
Hivi kuna mtu alikua anamwamini mbowe?😅😅😅 tuonegee hivi hivi tu bwasheeBc chadema wawe wapole wakimuona Mbowe anawakataa Kwenye interview huko 😂
Mkuu hivi huko kusini hili neno "kuzengua" ndio sahihi na sio kuzingua??Mbona jibu ni easy .wanaogopa kuondoka kwasababu watasukwasukwa na viongoz wao..wataporwa mali zao...kunanwatoto ktk family baba ukizengua wanakinukisha...na hawahami wataenda wapi hapo ni kwao?ndo walipokulia ..ss hv ni movement moja dogo tulia
Magangwe tunajitambuaWapuuzi hawajibiwi
Waulize chawa wa chadema Akina mshana na wenzake wana jibu murua 😂Hivi kuna mtu alikua anamwamini mbowe?😅😅😅 tuonegee hivi hivi tu bwashee
Sijui mi mgeniMkuu hivi huko kusini hili neno "kuzengua" ndio sahihi na sio kuzingua??
Acha kuzenguaSijui mi mgeni