Mhuni kakutana na gangwe

Mhuni kakutana na gangwe

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,928
Reaction score
828,569
Hakuna kitu kinamuuma mwizi kama kuibiwa
Gangwe ni lugha kitaa ambayo ni almost inatoweka! Lakini kwa tafsiri rahisi gangwe ni mtu mtemi.. Nyakati hizo neno hilo lilimaanisha utemi kwenye mapigano..
Mhuni na gangwe ni watu wawili tofauti wasioiva hata kidogo.. Mhuni hupenda kufanya mambo kihuni, nje ya utaratibu, kuvunja sheria, kukiuka kanuni nk
Mhuni daima hana adabu
Mhuni daima hana nidhamu
Mhuni daima hana hekima
Mhuni daima hana heshima
Mhuni daima hana haya!
Mhuni daima hana akili
Gangwe ni mtemi na mtu aliyenyooka sana.. Tofauti na mhuni ambaye hutumia watu kutimiza uhuni wake na kupenda kufanya mambo kwa kificho.. Gangwe yeye hana mambo mengi, ni mtemi asiyeogopa kitu na daima huenda mwenyewe front!
Kuna wahuni hujaribu kuwa watemi.. Tatizo lao ni moja utemi wao ni kwa kuwatumia watu.. Wahuni hujifanya wajuaji na watoto wa mjini sana! Ila ukiwabananisha mahali hawakawii kupiga kelele

Kuna mhuni kawageuka wahuni wenzake.. Unajua kwenye wahuni wa kaliba mbili
1. Wanaojifanya mabon town
2. Wakuja
Wote hawa ni wahuni tuu wamegeukana.. Ratio kuna upande unataka Ku act Kama mtemi na gangwe la magangwe..

Je kwenye hii vita nani wataibuka kidedea? Wabush ama wakuja?
downloadfile.jpg
IMG_1897.jpeg
 
Hakuna kitu kinamuuma mwizi kama kuibiwa
Gangwe ni lugha kitaa ambayo ni almost inatoweka! Lakini kwa tafsiri rahisi gangwe ni mtu mtemi.. Nyakati hizo neno hilo lilimaanisha utemi kwenye mapigano..
Mhuni na gangwe ni watu wawili tofauti wasioiva hata kidogo.. Mhuni hupenda kufanya mambo kihuni, nje ya utaratibu, kuvunja sheria, kukiuka kanuni nk
Mhuni daima hana adabu
Mhuni daima hana nidhamu
Mhuni daima hana hekima
Mhuni daima hana heshima
Mhuni daima hana haya!
Mhuni daima hana akili
Gangwe ni mtemi na mtu aliyenyooka sana.. Tofauti na mhuni ambaye hutumia watu kutimiza uhuni wake na kupenda kufanya mambo kwa kificho.. Gangwe yeye hana mambo mengi, ni mtemi asiyeogopa kitu na daima huenda mwenyewe front!
Kuna wahuni hujaribu kuwa watemi.. Tatizo lao ni moja utemi wao ni kwa kuwatumia watu.. Wahuni hujifanya wajuaji na watoto wa mjini sana! Ila ukiwabananisha mahali hawakawii kupiga kelele

Kuna mhuni kawageuka wahuni wenzake.. Unajua kwenye wahuni wa kaliba mbili
1. Wanaojifanya mabon town
2. Wakuja
Wote hawa ni wahuni tuu wamegeukana.. Ratio kuna upande unataka Ku act Kama mtemi na gangwe la magangwe..

Je kwenye hii vita nani wataibuka kidedea? Wabush ama wakuja?View attachment 3410333View attachment 3410334
🤔🤔🤔
 
Kama ameweza kuwageuka wenzake, anashindwa nini kuwageuka na huko alipo sasa?

Mtu kuongea kinachokufurahisha haina maana yupo kundi moja na nyie ndo mana Gwajima anapinga utekaji/uuaji unaofanywa na ccm afu hapo hapo anasema atabaki kuwa ccm daima, sasa jiulize kwann haondoki ccm wakati amesema kuna mambo mabaya.

Yani uwe mwizi nyumbani kwenu tuu afu kwa jirani usiwe mwizi kisa ni kwa jirani? Haiwezekani.

Chadema tumieni akili.
 
Hakuna kitu kinamuuma mwizi kama kuibiwa
Gangwe ni lugha kitaa ambayo ni almost inatoweka! Lakini kwa tafsiri rahisi gangwe ni mtu mtemi.. Nyakati hizo neno hilo lilimaanisha utemi kwenye mapigano..
Mhuni na gangwe ni watu wawili tofauti wasioiva hata kidogo.. Mhuni hupenda kufanya mambo kihuni, nje ya utaratibu, kuvunja sheria, kukiuka kanuni nk
Mhuni daima hana adabu
Mhuni daima hana nidhamu
Mhuni daima hana hekima
Mhuni daima hana heshima
Mhuni daima hana haya!
Mhuni daima hana akili
Gangwe ni mtemi na mtu aliyenyooka sana.. Tofauti na mhuni ambaye hutumia watu kutimiza uhuni wake na kupenda kufanya mambo kwa kificho.. Gangwe yeye hana mambo mengi, ni mtemi asiyeogopa kitu na daima huenda mwenyewe front!
Kuna wahuni hujaribu kuwa watemi.. Tatizo lao ni moja utemi wao ni kwa kuwatumia watu.. Wahuni hujifanya wajuaji na watoto wa mjini sana! Ila ukiwabananisha mahali hawakawii kupiga kelele

Kuna mhuni kawageuka wahuni wenzake.. Unajua kwenye wahuni wa kaliba mbili
1. Wanaojifanya mabon town
2. Wakuja
Wote hawa ni wahuni tuu wamegeukana.. Ratio kuna upande unataka Ku act Kama mtemi na gangwe la magangwe..

Je kwenye hii vita nani wataibuka kidedea? Wabush ama wakuja?View attachment 3410333View attachment 3410334
Mkuu umenikumbusha enzi zetu sisi vijana wa zamani;
Magangwe walikuwa mabitozi fulani sifa yao kubwa ilikuwa ni uwezo wa kujisaidia haja kubwa na kuondoka bila kuchamba!
Hao ndo magangwe.
 
Hakuna kitu kinamuuma mwizi kama kuibiwa
Gangwe ni lugha kitaa ambayo ni almost inatoweka! Lakini kwa tafsiri rahisi gangwe ni mtu mtemi.. Nyakati hizo neno hilo lilimaanisha utemi kwenye mapigano..
Mhuni na gangwe ni watu wawili tofauti wasioiva hata kidogo.. Mhuni hupenda kufanya mambo kihuni, nje ya utaratibu, kuvunja sheria, kukiuka kanuni nk
Mhuni daima hana adabu
Mhuni daima hana nidhamu
Mhuni daima hana hekima
Mhuni daima hana heshima
Mhuni daima hana haya!
Mhuni daima hana akili
Gangwe ni mtemi na mtu aliyenyooka sana.. Tofauti na mhuni ambaye hutumia watu kutimiza uhuni wake na kupenda kufanya mambo kwa kificho.. Gangwe yeye hana mambo mengi, ni mtemi asiyeogopa kitu na daima huenda mwenyewe front!
Kuna wahuni hujaribu kuwa watemi.. Tatizo lao ni moja utemi wao ni kwa kuwatumia watu.. Wahuni hujifanya wajuaji na watoto wa mjini sana! Ila ukiwabananisha mahali hawakawii kupiga kelele

Kuna mhuni kawageuka wahuni wenzake.. Unajua kwenye wahuni wa kaliba mbili
1. Wanaojifanya mabon town
2. Wakuja
Wote hawa ni wahuni tuu wamegeukana.. Ratio kuna upande unataka Ku act Kama mtemi na gangwe la magangwe..

Je kwenye hii vita nani wataibuka kidedea? Wabush ama wakuja?View attachment 3410333View attachment 3410334
Hiyo pcha ya chaaba Kwa harakhark kama bi nanii wanaemuimba kwe wimbo wao wa ng'ong'o😊
 
Kama ameweza kuwageuka wenzake, anashindwa nini kuwageuka na huko alipo sasa?

Mtu kuongea kinachokufurahisha haina maana yupo kundi moja na nyie ndo mana Gwajima anapinga utekaji/uuaji unaofanywa na ccm afu hapo hapo anasema atabaki kuwa ccm daima, sasa jiulize kwann haondoki ccm wakati amesema kuna mambo mabaya.

Yani uwe mwizi nyumbani kwenu tuu afu kwa jirani usiwe mwizi kisa ni kwa jirani? Haiwezekani.

Chadema tumieni akili.
CCM si watekaji na ndiyo maana Gwajima anabakia kuwa CCM, tatizo lililopo hapa ni kwamba CCM imeingiliwa na wahuni kama asemavyo mchawi wetu (Mshana Jr) kiujanja Iła anaeleweka. Viongozi waliopo madarakani ndani ya CCM ni wa hovyo mno, hawajiamini na ndiyo maana wanaendesha nchi kimabavu.
 
Kama ameweza kuwageuka wenzake, anashindwa nini kuwageuka na huko alipo sasa?

Mtu kuongea kinachokufurahisha haina maana yupo kundi moja na nyie ndo mana Gwajima anapinga utekaji/uuaji unaofanywa na ccm afu hapo hapo anasema atabaki kuwa ccm daima, sasa jiulize kwann haondoki ccm wakati amesema kuna mambo mabaya.

Yani uwe mwizi nyumbani kwenu tuu afu kwa jirani usiwe mwizi kisa ni kwa jirani? Haiwezekani.

Chadema tumieni akili.
Mbona jibu ni easy .wanaogopa kuondoka kwasababu watasukwasukwa na viongoz wao..wataporwa mali zao...kunanwatoto ktk family baba ukizengua wanakinukisha...na hawahami wataenda wapi hapo ni kwao?ndo walipokulia ..ss hv ni movement moja dogo tulia
 
Kama ameweza kuwageuka wenzake, anashindwa nini kuwageuka na huko alipo sasa?

Mtu kuongea kinachokufurahisha haina maana yupo kundi moja na nyie ndo mana Gwajima anapinga utekaji/uuaji unaofanywa na ccm afu hapo hapo anasema atabaki kuwa ccm daima, sasa jiulize kwann haondoki ccm wakati amesema kuna mambo mabaya.

Yani uwe mwizi nyumbani kwenu tuu afu kwa jirani usiwe mwizi kisa ni kwa jirani? Haiwezekani.

Chadema tumieni akili.
Hatuwataki ila tunafurahi yanavyo paranganyika vita ni vita mura
 
Mkuu umenikumbusha enzi zetu sisi vijana wa zamani;
Magangwe walikuwa mabitozi fulani sifa yao kubwa ilikuwa ni uwezo wa kujisaidia haja kubwa na kuondoka bila kuchamba!
Hao ndo magangwe.
Yaani una prove kua dini yenu wajinga ni wengi,basi tuu
 
Hakuna kitu kinamuuma mwizi kama kuibiwa
Gangwe ni lugha kitaa ambayo ni almost inatoweka! Lakini kwa tafsiri rahisi gangwe ni mtu mtemi.. Nyakati hizo neno hilo lilimaanisha utemi kwenye mapigano..
Mhuni na gangwe ni watu wawili tofauti wasioiva hata kidogo.. Mhuni hupenda kufanya mambo kihuni, nje ya utaratibu, kuvunja sheria, kukiuka kanuni nk
Mhuni daima hana adabu
Mhuni daima hana nidhamu
Mhuni daima hana hekima
Mhuni daima hana heshima
Mhuni daima hana haya!
Mhuni daima hana akili
Gangwe ni mtemi na mtu aliyenyooka sana.. Tofauti na mhuni ambaye hutumia watu kutimiza uhuni wake na kupenda kufanya mambo kwa kificho.. Gangwe yeye hana mambo mengi, ni mtemi asiyeogopa kitu na daima huenda mwenyewe front!
Kuna wahuni hujaribu kuwa watemi.. Tatizo lao ni moja utemi wao ni kwa kuwatumia watu.. Wahuni hujifanya wajuaji na watoto wa mjini sana! Ila ukiwabananisha mahali hawakawii kupiga kelele

Kuna mhuni kawageuka wahuni wenzake.. Unajua kwenye wahuni wa kaliba mbili
1. Wanaojifanya mabon town
2. Wakuja
Wote hawa ni wahuni tuu wamegeukana.. Ratio kuna upande unataka Ku act Kama mtemi na gangwe la magangwe..

Je kwenye hii vita nani wataibuka kidedea? Wabush ama wakuja?View attachment 3410333View attachment 3410334
Hii picha inafurahisha sana, iwe inatumika kama alama ya kichama na kiserikali.
Muchas felicidades desde Cuba.
Screenshot_20250719-060820.jpg
 
Kama ameweza kuwageuka wenzake, anashindwa nini kuwageuka na huko alipo sasa?

Mtu kuongea kinachokufurahisha haina maana yupo kundi moja na nyie ndo mana Gwajima anapinga utekaji/uuaji unaofanywa na ccm afu hapo hapo anasema atabaki kuwa ccm daima, sasa jiulize kwann haondoki ccm wakati amesema kuna mambo mabaya.

Yani uwe mwizi nyumbani kwenu tuu afu kwa jirani usiwe mwizi kisa ni kwa jirani? Haiwezekani.

Chadema tumieni akili.
Kwani yeye Gwajima ndiye anayeteka watu? Mbona nyie machawa mpo pamoja na mbowe lwa sababu anafanya mambo mnayopenda na sisi yeyote atakaye wapelekea moto maccm tupo naye. Kitu kingine huyo jamaa alipewa ubalozi ili anyamazishwe kama umesahau basi!
 
Back
Top Bottom