Mhudumu wa Pub anahitajika

Mhudumu wa Pub anahitajika

Mwadunda

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2013
Posts
2,058
Reaction score
1,776
Natafuta wasichana wawili wa kuuza Pub maeneo ya Mbezi mwisho, Anaeweza an PM
 
kwa nini usimweke MKEO/ ,MCHUMBA WAKO/, MDOGO WAKO WA KIKE..,.,.nyambafu wewe
Kwani amekosea wapi? kwani hakuna wanaotafuta kazi za hvyo mpaka unamtukana? mbona kwenye kazi zingine mnalalamika wakiweka ndugu zao kama ulivyomwambia
 
Jamani i'm serious kwenye hili nawahitaji hao wasichana kama anaishi mbali na hapa Mbezi ntagharamia malazi
 
Salary ngapi?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Salary tutafanya mazungumzo siwezi kuweka hadharani
 
Back
Top Bottom