Mhudumu kwa bibi-mshahara 150,000 NET

TZX2012

Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
95
Reaction score
17
[h=2]Anatakiwa mhudumu kwa ajili ya kumhudumia bibi mzee-hajiwezi,kazi kubwa ni kumpikia na kumuosha.Anayetakiwa ni mhudumu wa kike,umri kati ya 18-35,kabila yoyote,kazi iko DAR.,kula na kulala zitalipiwa na familia.Wapi anaweza kupatikana?Akiwa nurse anaweza kulipwa zaidi kidogo.Naomba nijue wapi naweza kumpata au kama yuko hapa atume maombi kwa dibkanm@yahoo.com[/h]
 
kama ni nurse mshahara utaongezeka hadi ngapi? hali ya huyo bibi ipoje? fafanua zaidi.hapa nataka nipime ukubwa wa kazi
 

Huyo Bibi anahitaji sana ndugu wamlee ili kumstiri aibu zake. Je hakuna ndugu yoyote wakumtunza?
 
Likwanda,nakushukuru kwa swali lako na muda wako. Sitaki kuongopa wapo na si ndie mimi ninayeandika?*? lakini wanatafuta hicho cha kujlisha na kumlisha na kumuwekewa huyo mfanyakazi.Kama niko nje ya nchi na sina uwezo wa kumleta nimfanyeje,naomba nishirikishe njia uliyotumia wewe au utakayotumia wewe kwa wazazi/bibi yako au utakayotunziwa wewe,na kwa bahati mbaya nakushukuru na Noeli njema kwako na familia..
 

Mkuu, nimekuelewa na ninakutakia kila la kheri ktk kumpata msaidiz
 
weka atleast 350000, huyo bibi ni kabila gani? sio mkorofi! pia vp hana yale mambo ya gamboshi?
 
Bahati mbaya akitangulia mbele za haki, ndiyo itakuwa mwisho wa kibarua?????????????
 
Mhudumu anapatikana, ni mtu mzima, ana uwezo wa kumlea kwa kiwango unachotaka, ni mwelewa, hajasoma nursing ila kulingana na uzito wa kazi angalao laki mbili.
 
akiwa kama bibi angu huyo mfanyakazi lazima atoke nduki maana karudi utoto wa mienzi 6 na ni mkorifi sana .hawa wazee wanatakiwa walelewe na ndugu au jamaa wa karibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…