Anatakiwa mhudumu kwa ajili ya kumhudumia bibi mzee-hajiwezi,kazi kubwa ni kumpikia na kumuosha.
Anayetakiwa ni mhudumu wa kike,umri kati ya 18-35,kabila yoyote,kazi iko DAR.,kula na kulala zitalipiwa na familia.
Wapi anaweza kupatikana?Akiwa nurse anaweza kulipwa zaidi kidogo.Naomba nijue wapi naweza kumpata au kama yuko hapa atume maombi kwa dibkanm@yahoo.com
Anayetakiwa ni mhudumu wa kike,umri kati ya 18-35,kabila yoyote,kazi iko DAR.,kula na kulala zitalipiwa na familia.
Wapi anaweza kupatikana?Akiwa nurse anaweza kulipwa zaidi kidogo.Naomba nijue wapi naweza kumpata au kama yuko hapa atume maombi kwa dibkanm@yahoo.com