Mhudumu kwa bibi-mshahara 150,000 NET

Mhudumu kwa bibi-mshahara 150,000 NET

TZX2012

Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
95
Reaction score
17
Anatakiwa mhudumu kwa ajili ya kumhudumia bibi mzee-hajiwezi,kazi kubwa ni kumpikia na kumuosha.
Anayetakiwa ni mhudumu wa kike,umri kati ya 18-35,kabila yoyote,kazi iko DAR.,kula na kulala zitalipiwa na familia.
Wapi anaweza kupatikana?Akiwa nurse anaweza kulipwa zaidi kidogo.Naomba nijue wapi naweza kumpata au kama yuko hapa atume maombi kwa dibkanm@yahoo.com
 
Inabidi kukaa na kuishi hapo,si kazi ya daily.Gharama zake za chakula na kulala zinalipiwa,thx
 
Back
Top Bottom