kakuruvi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2009
- 770
- 256
Wasambaa wawili wanakaa kwenye viti baa wanatafakari waagize nini, ghafla wanaingia wachaga wawili nakuagiza kwa sauti ''tuletee Kilimanjaro mbili bwashee'' wasambaa wakaona wasituzingue hawa mhudumu alipokuja kwenye meza yao wakakurupuka ''tiletee Lushoto mbili tafadhli'' mhudumu duu...