Mhongo aliondoka na umeme tanesco

Mhongo aliondoka na umeme tanesco

Toga

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2015
Posts
665
Reaction score
861
Kama kichwa kinavyo jieleza hivi tanesco kuna shida gani maana si kwa mgao huu wa umeme watu tumejiajiri kwenye viwanda vidogo lakini umeme
Umekuwa shida watoto wanakufa njaa maana hakuna kazi tunafanya au mhongo alindoka na umeme wake maana tangu aondoke imekuwa shida tupu huku kwetu kaliua ndio balaa tupu
Je serikali ya viwanda itafanikiwa kwa hali hii.
 
Kama kichwa kinavyo jieleza hivi tanesco kuna shida gani maana si kwa mgao huu wa umeme watu tumejiajiri kwenye viwanda vidogo lakini umeme
Umekuwa shida watoto wanakufa njaa maana hakuna kazi tunafanya au mhongo alindoka na umeme wake maana tangu aondoke imekuwa shida tupu huku kwetu kaliua ndio balaa tupu
Je serikali ya viwanda itafanikiwa kwa hali hii.
naona kama huku kwetu ndo wamezidi yaani hata sasa hivi wameshakata tena bila ya taarifa yoyote
 
Leo Nimeshinda dukani kariakoo mtaa Agrey tangu asubuhi umeme hakuna, kelele za majenereta usiseme, hadi nafunga duka kichwa kinauma, nimerudi nyumbani nimechoka sana,ile naingia ndani tu saa moja jioni hii umeme wamekata, joto la Dar + uchovu + kichwa kinauma = MUHONGO ARUDI TU;
 
Kwani mlizaliwa kwenye nyumba zenye umeme, naelewa sasa tuliozaliwa vijijini gizani gizani tunaona kawaida
 
Rais muhuni, mawaziri wahuni, hakuna kitu tutapata zaidi ya manung’uniko.
 
Back
Top Bottom