Mhitimu niliepoteza dira

Mhitimu niliepoteza dira

Durk lil

Member
Joined
Dec 15, 2013
Posts
9
Reaction score
3
wakuu mimi ni mhtimu wa shahada ya sheria nmemaliza june mwaka huu lakini hadi leo hii nmetafuta kazi hata ya kuuza genge nmekosa wakuu na maisha ya mtaan n magumu sana ndugu zangu naomba mwenye uwezo anisaidie 0767387145 au n pm
 
Kupoteza dira ni kutojitambua.,,...mkuu ungekuwa unajitambua msomi kama ww ushindwe kuwa forcused na future yako..tambua kuwa hyo ni mapito kuelekea lengo lako ktk maisha.pole ila usikate tamaa kaza buti.
 
Mkuu rudi tu kijijini ukalime,mwenzio nalima huku..kilimo ni uti wa mgongo
Umesoma sheria lakini kilimo ndo kinaweza kukutoa kimaisha
 
Mkuu jaribu kutafuta watu mliomaliza pamoja then mmnaweza kufanya mawazo yenu kuwa productive usiendelee kubweteka
 
Mkuu rudi tu kijijini ukalime,mwenzio nalima huku..kilimo ni uti wa mgongo
Umesoma sheria lakini kilimo ndo kinaweza kukutoa kimaisha

nmeshafkria wazo kama hlo mkuu lakn tatzo n kwamba sina mtaj wa kuanza hko klmo
 
Mkuu wapo wahitimu km ww wana miaka miwili mpk mitatu mtaani na bdo hawajakata tama.km hipo hipo tu.ushahuri wangu husichague kazi.tafuta ajira yyt hata kwa mshahara wa 150,000 angalau husikoe ht hela ya nauli na kutolea fotokopi cv zk.mm mwnyw nimesota miaka miwil na ajira vibarua ila kwss nimeshalamba shavu.hasikwambie mtu mkuu msomi ni msomi tu.utasota mtaani na dharau zitakuweopo ila siku ukipata zali lako ukirudi mtaani unavimba tu na heshima inarudi.ishi kwa matumaini mkuu.
 
Mkuu wapo wahitimu km ww wana miaka miwili mpk mitatu mtaani na bdo hawajakata tama.km hipo hipo tu.ushahuri wangu husichague kazi.tafuta ajira yyt hata kwa mshahara wa 150,000 angalau husikoe ht hela ya nauli na kutolea fotokopi cv zk.mm mwnyw nimesota miaka miwil na ajira vibarua ila kwss nimeshalamba shavu.hasikwambie mtu mkuu msomi ni msomi tu.utasota mtaani na dharau zitakuweopo ila siku ukipata zali lako ukirudi mtaani unavimba tu na heshima inarudi.ishi kwa matumaini mkuu.

Watu wanachagua kazi sana,kipindi cha kutafuta ajira,anza na u-freelancer kwenye kampuni hizi za cm,bank,drinks while unasend cv usisubiri kazi ulioyosemea ndio iwe ya kwanza,mie nlikua hadi kuli wa kushusha katoons za soda unzipeleka UDSM manzese kafteria na nyomi kibao lkn hamna cha soo wala nini lakin mungu si athuman sasa bata ubatani,salary >1m,usafiri wa maana 16m,nyumba ipo kwenye lenta,vijibiznes vidogo vipo,komaaa mwana kwa maelezo zaidi ni-PM.
 
Watu wanachagua kazi sana,kipindi cha kutafuta ajira,anza na u-freelancer kwenye kampuni hizi za cm,bank,drinks while unasend cv usisubiri kazi ulioyosemea ndio iwe ya kwanza,mie nlikua hadi kuli wa kushusha katoons za soda unzipeleka UDSM manzese kafteria na nyomi kibao lkn hamna cha soo wala nini lakin mungu si athuman sasa bata ubatani,salary >1m,usafiri wa maana 16m,nyumba ipo kwenye lenta,vijibiznes vidogo vipo,komaaa mwana kwa maelezo zaidi ni-PM.

nmekuelewa mkuu ntafanyia kazi ushaur wako
 
Tuwe na subira mwenyewe nipo kwa mtaa ful hasoling' ila napiga kazi ambazo msomi uchwara hawezi fanya na cash kwa hand kama kawa japo za vocha na cv sending....bachelor kando maisha yanakwenda
 
wakuu mimi ni mhtimu wa shahada ya sheria nmemaliza june mwaka huu lakini hadi leo hii nmetafuta kazi hata ya kuuza genge nmekosa wakuu na maisha ya mtaan n magumu sana ndugu zangu naomba mwenye uwezo anisaidie 0767387145 au n pm

acha utoto wenzako wanakaa home 3yrs wewe unakaa 5month unalia acha utoto tatzo vjana na vbnti mnaosoma law mnaishi kwa ndoto kuwa nyie ni exceptional group kumbe kwa sasa wanasheria na waalmu hamna tofauti komaa acha kudeka
 
wakuu mimi ni mhtimu wa shahada ya sheria nmemaliza june mwaka huu lakini hadi leo hii nmetafuta kazi hata ya kuuza genge nmekosa wakuu na maisha ya mtaan n magumu sana ndugu zangu naomba mwenye uwezo anisaidie 0767387145 au n pm

mhh juz tu unalalamika ivo! Me mwenzio tangia July 2011 nw napika chapat na maandaz napeleka mahotelini! Huku napata senti zakurolea copy za cv...pole
 
wakuu mimi ni mhtimu wa shahada ya sheria nmemaliza june mwaka huu lakini hadi leo hii nmetafuta kazi hata ya kuuza genge nmekosa wakuu na maisha ya mtaan n magumu sana ndugu zangu naomba mwenye uwezo anisaidie 0767387145 au n pm

Kazi ya kuuza genge ni kujiajir sio kuajiriwa..kwa ushauri mwombe ndugu akukopeshe mtaji wa kuanzia elf ishirin..damka asubuh nenda soko la ilala kanunue vitu uje uweke hata barazani watu watanunua..au ndoo moj a ya njeger elf 16 ukija kupanga mafungu faida utapata hata mara tatu yake upo hapo??otherwise tuma cv ili ukafanye kazi ya kujitolea kwenye Ngo's kama LHRC,TAWLA,WLAC,LEAT etc upo hapo msomi mwanasheria??tafuta jinsi ya kujikomboa sio unalia lia kama mtoto wa darasa la pili ilhali umeshasoma hadi nyo level
 
bro bado fresh graduand..watu wamekaa mpaka wameamua kwenda kusomea kitu kingine..we kinachokutesa ni over-expection ulizokuwa nazo wakati wa kusoma thn unakuja kitaa unakuta vice versa. jitolee kufanya kazi hata kwny proffesiion isiyo yako ukiatafuta yako taratibu. usifikirie thamani ya degree uliyokuwa nayo tafuta tru xpirienc
 
Hafu watu waliopata kazi bila kuangaika wanachukulia ili swala mzaa sana... dah... Wengine tukae kimya tu.. Kaka kaza kaka..:frusty:
 
kwel kabisa wadau me mwenyewe nimemaliza june hapa natafuta hata kibarua cha kufanya usafi kwenye kampuni yeyote atleast nipate vjisent vya kufanyia application nikiamini one day tapata tu mtaan pagumu
 
wakuu mimi ni mhtimu wa shahada ya sheria nmemaliza june mwaka huu lakini hadi leo hii nmetafuta kazi hata ya kuuza genge nmekosa wakuu na maisha ya mtaan n magumu sana ndugu zangu naomba mwenye uwezo anisaidie 0767387145 au n pm
Kijana unaonekana ulikuwa unakula sana simbi...napata wasiwasi utawahukumu watu watu kimakosa, fikiria nje ya box
 
June tu unapga kelele ukikaa mwaka kama mimi si utakufa?
Tatzo siyo kupata kazi ila ni kuwa na matarajio makubwa bila kuangalia hali halisi miez mitano tu anapiga kelele nadhani ingekuwa mwaka angezimia watu mpaka leo tunasota vyeti tumetupa kule tunapiga kazi za kawaida ili tuishi mengine majaariwa ya mungu tu!
 
Back
Top Bottom