Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,434
- 59,289
Acha wapigwe tu, wahindi ndo wanadumaza uchumi wetu, hawaishi na sisi uraiani wote wanaishi nyumba za NHC, ni wabaguzi sana hawa jamaa, hela zao zote huwa wanahamisha baada ya mauzo wanapaleka na kwenda kujenga kwao India wakati wamechumia hapa bongo, pia ndo wanaongoza kuwemo kwenye kashfa zote za kuiibia serikali mfano sakata la epa na rada. mie kiukweli siwapendi kabisa kwa sababu sio wenzetu kabisa wanatunyanyasia sana ndugu zetu wanaofanya kazi kwenye himaya zao.
We nani kakutaza kuishi oyster bay na kujilimbikizia uswiss?