Mhindi auwawa

Mhindi auwawa

Taratibu majambazi yameanza kurejea tena na kuanza kutamba kama yanavyotaka.Tushirikiane na jeshi letu kwani yanatoka ktk mitaa na maeneo yetu.RIP Mdosi
 
LaHaw-Laa Wala Quwataa iLa-BiLaah.... Kwa masikitiko na simanzi MSIBA kwa wafanyabiashara na familiya. Poleni na tunawatakia subira,Faraj na uvumilivu kipindi hiki.... Mwenyenzi Mungu atahukumu !AMIN
 
poleni wafiwa hii ni salamu kwa igp kuwa majambazi yapo aje na strategy za kueleweka badala ya kupongezana huu ni wakati wa kazi
 
JAMANI MI NAMUUNGA MGUU MTOA MADA JPO KUNA WATU HAPA WANATAKA KUJIFANYA HAWAJAELEWA AU WANAJUA KISWAHILI!!NANI MABINGWA wa kuwabagua watu hapa TZ TENA KWETU KAMA SI WAHINDI?ULIZA WALIOWAI FANYIA KWA WAHINDI...Mvulana yoyote ni juma jama kuja hapa veve iba wewe duka angu...swahili bana jivi sana.....sisemi ndo kuwalipishia lla lengo lamtoamaa ni kudroo attention na kujua kumbe leo ni mhindii....mana imezoeleka ni waswahili wanaoporwa!!kwani hamjawai sikia watu kumi wamefariki na mmasai mmoja kwenye ajali?.....penda lalama veve JUMA!!
 
Wao wenyewe wanaua ndugu zetu acha wafe tu
 
Huu ni ubaguzi mkubwa sana hasa katika rangi na lengo kuu nadhani ni kuwagawa watu wenye asili ya kihindi na waafrika hiyo siyo sawa mkuu.

Sishangai sana kwani ndiyo tabia ya weusi huwa tuna lugha za kibaguzi sana

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Acha wapigwe tu, wahindi ndo wanadumaza uchumi wetu, hawaishi na sisi uraiani wote wanaishi nyumba za NHC, ni wabaguzi sana hawa jamaa, hela zao zote huwa wanahamisha baada ya mauzo wanapaleka na kwenda kujenga kwao India wakati wamechumia hapa bongo, pia ndo wanaongoza kuwemo kwenye kashfa zote za kuiibia serikali mfano sakata la epa na rada. mie kiukweli siwapendi kabisa kwa sababu sio wenzetu kabisa wanatunyanyasia sana ndugu zetu wanaofanya kazi kwenye himaya zao.
 
The police must find the animals that committed this crime and bring them to justice very soon. Barbaric acts such as this will not be tolerated by the Indian community.
 
Kuna mhindi ameuwawa Karikoo na majambazi jamaa wameondoka na hela

Kwani mkuu, ungesema mfanya biashara au mwanaume au mwanamke mmoja kauwawa ungepungua nini? Huu ni ubaguzi tena wa dhahiri.
 
Kuna mhindi ameuwawa Karikoo na majambazi jamaa wameondoka na hela
Haya ni matokeo ya kauli zilezile za wanasiasa muflisi nchi haitatawalika, sasa wanajiongezea mapato kwenye chama kwa njia haramu, halafu wanajifanya kutupia lawama serikali.

Lema.jpg Mbowe.png
 
Back
Top Bottom