Kamari inazidi kufilisi vijana

Kamari inazidi kufilisi vijana

Chadema 2030

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
1,916
Reaction score
3,748
Vijana wanatumia pesa nyingi huko bila mafanikio. Leo nimeamkia msiba hapa jirani nnapopanga.

Kijana wa miaka 30 ajitia kitanzi kisa aviator. Naskia alikopa mil 3 akacheza yote aviator mhindi kala yote.

Na kitu kimechangia kujiua ni stress. Sasa hivi mwamba hatupo naye kweli kamari hatari. Bora hata angefungua hata mgahawa.

Kweli tamaa mbaya.
 
Na sasa hivi kati ya vijana 100 ukiwachunguza unaweza kukuta ni watatu au wawili ambao hawatandiki mikeka.
Zamani kibongo bongo ilikuwa nikama kazi ya jobless, Lakini sasa hivi imetekwa na watu wenye kazi za maana na vipato vya uhakika.
 
ujinga wake anakimbia nn den ? .. c bora angehama mji tu ? .. au angetulia alilipe maana had aweze kukopa hiyo yote it mean anaingizaga pesa flan nzur .. kwamba walimkopesha bila vigezo ?.
 
Na sasa hivi kati ya vijana 100 ukiwachunguza unaweza kukuta ni watatu au wawili ambao hawatandiki mikeka.
Zamani kibongo bongo ilikuwa nikama kazi ya jobless, Lakini sasa hivi imetekwa na watu wenye kazi za maana na vipato vya uhakika.
Kweli kabisa mikeka ni janga la Taifa
 
sasa huyo kama anacheza aviator sisi wawekezaji hatumtambui huyo ni mkamaria namba FDT 2026 Acha akufe tu...wakamaria plate number A tunajuana stake bwanga odd modo..tukutane sheli
 
Ni kweli huku sio pazuri usije utaacha ndala kama huna puuzi...wandani wandani wanje wanje
 

Attachments

  • Screenshot_20260427-124908_1xBet-indo.jpg
    Screenshot_20260427-124908_1xBet-indo.jpg
    176.9 KB · Views: 7
  • Screenshot_20260427-124915_1xBet-indo.jpg
    Screenshot_20260427-124915_1xBet-indo.jpg
    171.1 KB · Views: 9
  • Screenshot_20260427-124930_1xBet-indo.jpg
    Screenshot_20260427-124930_1xBet-indo.jpg
    164.1 KB · Views: 10
  • Screenshot_20260427-124934_1xBet-indo.jpg
    Screenshot_20260427-124934_1xBet-indo.jpg
    168.5 KB · Views: 9
  • Screenshot_20260427-124921_1xBet-indo.jpg
    Screenshot_20260427-124921_1xBet-indo.jpg
    160.9 KB · Views: 9
  • Screenshot_20260427-124926_1xBet-indo.jpg
    Screenshot_20260427-124926_1xBet-indo.jpg
    161.6 KB · Views: 10
  • Screenshot_20260427-124939_1xBet-indo.jpg
    Screenshot_20260427-124939_1xBet-indo.jpg
    167.1 KB · Views: 6
Ukitoka kwa Mhindi, njoo kwa Mchina ana vimashine vyake vile vya kuweka 200. Anawagonga sana vijana hizo sarafu sio poa. 😁
Mchina hataki hela nyingi, mia mbili tuu.
Sasa kweli mtu mzima anacheza Dubwi kutafuta hela si ni fala huyo..dubwi huwa tunacheza tukishalewa kwenye grocery kama starehe tu...na unajua kabisa hapa nacheza let's say 50000 basi...ila kamari ya hela iko sport ila nako uwe na nidhamu ya hali ya juu sana
 
Na sasa hivi kati ya vijana 100 ukiwachunguza unaweza kukuta ni watatu au wawili ambao hawatandiki mikeka.
Zamani kibongo bongo ilikuwa nikama kazi ya jobless, Lakini sasa hivi imetekwa na watu wenye kazi za maana na vipato vya uhakika.
Hakika mkuu. Walimu ndo usiseme
 
Mhind kaja na njia ya kuwatapeli watanzania
Serikali ifike hatua ikubali tu kupoteza kodi kutokana na kampuni za michezo ya bahati nasibu (betting) kunusulu vijana .

Vijana wanapoteza pesa nyingi sana kwenye betting . Binafsi nimeamua kuachana na huu upuuzi.


Huu so uwekezaji ni utapeli kama utapeli mwingine ulioharalishwa na serikali
 
Ni kweli huku sio pazuri usije utaacha ndala kama huna puuzi...wandani wandani wanje wanje
Safi sana. Paripesa UHAKIKA.
HUKO AVIATOR MTAKUFA WAJINGA NYIE. KAMALI HAINA SHIDA. CHEza kwa nidhamu
 
Back
Top Bottom