Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
unataka kuwaambia nini watanzania? watu wawachague viongozi kwa kuangalia imani zao zinasemaje? kama umeona dhambi moja ya uzinzi kwa mgombea mmoja, unazijua nyingine? au unajua kama wagombea wengine ni wazinzi au la? UZINZI hufanyika kunako siri. hata wewe wajua hilo.Japo huoni mantiki ya ujumbe wake lakini haijuzu kumchagua Rais mzinifu, uzinifu ni moja ya dhambi kubwa kwa dini zote na kwa waislam adhabu yake ni kifo. Uzinifu huleta ufukara wa mali, magonjwa na mabalaa. Ukimchagua kiongozi mzinifu kuna hatihati nchi kutumbukia kwenye mabalaa na ufukara wa kupindukia. Tumia akili yako vizuri rudi kwenye maadiko matakatifu then fanya maamuzi ya busara.
ALIYE MSAFI NA AWE WA KWANZA KUMRUSHIA MWENZAKE JIWE!!
Yale yale ya Alshabab, kulazimisha watu wafuge ndevu kwasababu dini inawataka hivyo, lakini haohao wanakwenda kuteka meli na kuua raia wasio na hatia..........sijui hiyo nayo ndo dini inataka?