Hivi karibuni ndani ya bunge la Tanzania Waziri wa nishati Prof Muhongo akijibu hoja mbalimbali za wabunge alitishia kutoa ushahidi juu ya matokeo ya kidato cha sita ya ole sendeka.
Na km si spika wa bunge kuingilia basi Prof Muhongo angeyataja matokeo hayo.
Cha kushangaza Ole Sendeka badala ya kujibu hoja naenda anakimbilia hoja dhaifu kabisa kuwa Prof alifeli mara sita shule ya msingi.
Mm nilitegemea sendeka hajikite kwn hoja kuu nae anakimbilia madongo. Ok.tuyachukue madongo yako kuwa ni kwl.
Tupe evidence za kutoshasha kuwa Prof amerudia mara sita na alikuwa anatumia majina yapi na ni shule zipi ambazo Prof amerudia na ni miaka ipi ili tukuelewe?
Prof alitoa ushahid wa kutosha na hata hapa jamii forum tuliona. Hiyo itatusaidia kujua ni kwa vp ww ni mtu wa hoja na evidence.
Na km si spika wa bunge kuingilia basi Prof Muhongo angeyataja matokeo hayo.
Cha kushangaza Ole Sendeka badala ya kujibu hoja naenda anakimbilia hoja dhaifu kabisa kuwa Prof alifeli mara sita shule ya msingi.
Mm nilitegemea sendeka hajikite kwn hoja kuu nae anakimbilia madongo. Ok.tuyachukue madongo yako kuwa ni kwl.
Tupe evidence za kutoshasha kuwa Prof amerudia mara sita na alikuwa anatumia majina yapi na ni shule zipi ambazo Prof amerudia na ni miaka ipi ili tukuelewe?
Prof alitoa ushahid wa kutosha na hata hapa jamii forum tuliona. Hiyo itatusaidia kujua ni kwa vp ww ni mtu wa hoja na evidence.