Mheshimiwa Sendeka umeshindwa kwenye hoja

Mheshimiwa Sendeka umeshindwa kwenye hoja

eti mengi ni mbali, awapi, muulize alipotaka vitalu vya bure kwa mwanvuli wa uzawa alichokipata. naamini hana hamu hata kidogo ya kumuona Prof. Muhongo. chezea Le proffesory weye.
halafu huyo failure wako wa ''F'' flat staki hata kumjadili.

Si mbaya mwehu km wewe ukionyesha kuwa ulichokuwa uki scan ndio hicho tuuu.Sendeka ktk kupanga ni issue kubwa zaidi ya ufundi ni mzuri kuliko huyo kibarua.Kwa Mengi ni mbali sana...ndio maana nawaona kuwa nyie ni wehu kumfananisha anayetaka kibarua na anayetaka kuajiri.
 
eti mengi ni mbali, awapi, muulize alipotaka vitalu vya bure kwa mwanvuli wa uzawa alichokipata. naamini hana hamu hata kidogo ya kumuona Prof. Muhongo. chezea Le proffesory weye. halafu huyo failure wako wa ''F'' flat staki hata kumjadili.
Mengi alimuuliza huyo mhongo km alishawahi wekeza popote kwa mafanikio...?hakuwahi jibu ..kwa vile naamini aliwekeza ktk ujinga wa ma engineer wa mlimani ktk mashindano yao na Sheria..sijui nani ngwini nani ni nani..wale majamaa hata wakiwa baa hueleweza qualifications zao..MUHONGA HATA KUTONGOZA MALAYA ANDHANI KUWA HAYO MAVYETI YANAMPA NAFASI YA KUPATA DEMU NA SI KUMFANYA MALAYA AONGEZE DAU...kibarua ndio huhitaji huo ujinga.Angalia profile ya Rostam?
 
kuna kaukweli kwa mbaaaali kwenye maelezo yako. Ma-engineer wa mlimani wanakatabia ka kujiona fulani kiviiile. Ila uache kumtetea mengi anayetaka kutuibia kwa mgongo wa uzawa.

Mengi alimuuliza huyo mhongo km alishawahi wekeza popote kwa mafanikio...?hakuwahi jibu ..kwa vile naamini aliwekeza ktk ujinga wa ma engineer wa mlimani ktk mashindano yao na Sheria..sijui nani ngwini nani ni nani..wale majamaa hata wakiwa baa hueleweza qualifications zao..MUHONGA HATA KUTONGOZA MALAYA ANDHANI KUWA HAYO MAVYETI YANAMPA NAFASI YA KUPATA DEMU NA SI KUMFANYA MALAYA AONGEZE DAU...kibarua ndio huhitaji huo ujinga.Angalia profile ya Rostam?
 
Back
Top Bottom