Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 416
Raisi wa Malawi Bingu wa Mutharika anategemea kufunga ndoa siku ya valentine tarehe 14 Februari 2010. Raisi Bingu atafunga ndoa na waziri wake wa utalii Calist Chipola. Bingu wa Mutharika mwenye umri wa miaka 76 aliwahi kuwa na mke wa ndoa huko nyuma lakini bahati mbaya mama huyo alifariki dunia....Source: BBC News