Moneyowner
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,422
- 1,254
Kwa sasa taifa lilipofika sidhani kama watu watakuwa wakifikiria utaifa mbali na maslahi binafsi kulingana makundi kama vile dini, ukanda, ukabila, wenye pesa, mafisadi,wafanyabiashara,wasomi na walalahoi
nimejaribu kutaja makundi mache tu ambayo mpaka sasa hakuna mshikamano hata kidogo. saivi kilakundi linafikiria ni namna gani linaweaza kujikwamua
Mheshimiwa amekuwa akionesha waziwazi kupendelea;baadhi ya makundi;fulani ,vile kutufanya tusielewane hata kidogo.kimsingi hakuna jambo ambalo kwa sasa watanzania linatuunganisha kwa pamoja kama taifa. na yote haya ni ufisadi uliopitiliza kiwango akiwemo muheshimiwa na ndugu zake
Ebu tutafakarini; mafisadi wangapi waliokamatwa na shutuma za wizi wa fedha zaumma ;kama vile kuuza pembe za ndovu, twiga mikataba ya kipuuzi. eti adahabu ni kuwanyanganya nyadhifa jamani ulofa huu. kinachotokea mtwara watu walishachoshwa na danganya toto kama mnavyowaachia mashimo Shinyanga, Geita na Mara
wasiwasi wangu ni kuwa tutakuja tusimame kweli kama taifa au ndo tumeparanganyika jumla?
Nani atatuunganisha?
nimejaribu kutaja makundi mache tu ambayo mpaka sasa hakuna mshikamano hata kidogo. saivi kilakundi linafikiria ni namna gani linaweaza kujikwamua
Mheshimiwa amekuwa akionesha waziwazi kupendelea;baadhi ya makundi;fulani ,vile kutufanya tusielewane hata kidogo.kimsingi hakuna jambo ambalo kwa sasa watanzania linatuunganisha kwa pamoja kama taifa. na yote haya ni ufisadi uliopitiliza kiwango akiwemo muheshimiwa na ndugu zake
Ebu tutafakarini; mafisadi wangapi waliokamatwa na shutuma za wizi wa fedha zaumma ;kama vile kuuza pembe za ndovu, twiga mikataba ya kipuuzi. eti adahabu ni kuwanyanganya nyadhifa jamani ulofa huu. kinachotokea mtwara watu walishachoshwa na danganya toto kama mnavyowaachia mashimo Shinyanga, Geita na Mara
wasiwasi wangu ni kuwa tutakuja tusimame kweli kama taifa au ndo tumeparanganyika jumla?
Nani atatuunganisha?