Si umeona hapo juu pendekezo langu Gaijin.., alafu nikianza kulipigia debe hili suala nani ataendelea kulima haya majaruba ya mpunga (unajua tena classification and division of labor) (wapo watu ambao hii ndio kazi yao na posho wanakula)
Ndio maana nikasema mimi nipo tayari kutoa mchango wa hali na mali na kuwaomba wananchi wenzangu tujaribu hata kuonyesha kwamba inawezekena..., unajua tena sisi wananchi tumeshatoa mchango wetu sana wa kodi zetu ingawa tunaowapa kodi hawawezi kazi hivyo basi inabidi tuwaonyeshe na jinsi ya kufanya kazi yao
ʞontɹact Sniper;2378064 said:Kwakweli kwa sasa hivi hatuna la kufanya, wala ushauri wa kutoa, Tangu December, tuliambiwa tatizo ni mvua, mvua iliponyesha na tatizo kuendelea tukaletewa suala lingine.
Hapa ukweli kuhusu chanzo cha tatizo ni wao wanaoujua, na sababu tunazopewa inaonekana si sahihi, hivyo kila tunavyojaribu kushauri kulingana na tulivyodanganywa kuhusu tatizo husika, tunakuwa tunajichoresha tu...(inatia hasira kuchoreshwa!).
Mpaka tutakapoujua ukweli na wao kuonyesha kweli kuhitaji ushari ndipo tunaweza kushari, kwasababu ushari wa wataalamu wa Tanesco kuna kumbukumbu zinaonyeshwa unapuuzwa na kutosikilizwa, halafu wanaigiza kuja mitaani kutaka ushari unadhani hapo tuna cha kushauri kweli? Kwa sasa tule tu kila mtu kwa urefu wa kamaba yake.
...INATOSHA SASA.kilicho muafaka ni kuunganisha nguvu zetu wanyonge na kuwashikisha adabu,kuwatoa kabisa madarakani,tuanze upya!
Sheria ya Tanzania hairuhusu mtu mwengine yoyote kuuza umeme reja reja isipokuwa Tanesco. Kwa hiyo hata TANESCO ikipatiwa mafuta haitajalisha nani katoa kiasi gani, akiwasha umeme TANESCO itabidi usambazwe kwa wote na kama ukidumu kwa nusu saa tu kutokana na demand ya kukidhi eneo lote, tutashindwa kuwadhibiti.
Bado hatujafika hasa kwenye solutions mkuu, hebu tufikiri tena
kwahiyo mkuu huamini kabisa kwamba unaweza ukatumia non-violence na ukapata results bora zaidi kuliko kwa kutumia nguvu.., kwahiyo mi naona njia nzuri na rahisi (ambayo pia haiwezi ikawa mis-qouted) kama vurugu ni kuonyesha maovu ya hawa waliomadarakani na wananchi wenyewe watawaondoa madarakani (yaani jamii nzima itasema imechoka)... Kuliko watu wachache wakipinga wata-spin kwamba hawa jamaa ni wapenda fujo na baba na bibi zetu vijijini wataamini...
By the way kwahiyo unasema tukae gizani mpaka pale tutakapowaondoa madarakani
Kwahiyo mkuu huamini kabisa kwamba unaweza ukatumia non-violence na ukapata results bora zaidi kuliko kwa kutumia nguvu.., kwahiyo mi naona njia nzuri na rahisi (ambayo pia haiwezi ikawa mis-qouted) kama vurugu ni kuonyesha maovu ya hawa waliomadarakani na wananchi wenyewe watawaondoa madarakani (yaani jamii nzima itasema imechoka)... kuliko watu wachache wakipinga wata-spin kwamba hawa jamaa ni wapenda fujo na baba na bibi zetu vijijini wataamini...
By the way kwahiyo unasema tukae gizani mpaka pale tutakapowaondoa madarakani
Indeed hapa siongelei sisi kuanza kuuza umeme, hapana sababu kwanza hii itakuwa ngumu sababu inabidi tutumie transmission za tanesco
Pia ni kwamba hata kama tukiweza kuwapa wananchi wote umeme kwa masaa mawili (it does not matter) itakuwa symbolic kwamba wananchi waliweza kujipatia umeme wenyewe kwa siku moja..., Hivyo basi hadithi za viongozi kwamba haiwezekani au hii kazi ni ngumu sana itakuwa haipo...
Point yangu sio kwamba wananchi tuanze kutajirika kwa kufanya competition na Tanesco..., bali ni tuangalie ni wapi tumekwama ili tuone kama tunaweza kupanyoosha..
Sababu mpaka sasa ni kwamba kila mtu individually inamcost zaidi, pia am sure kama mkiongea na Tanesco kwamba tunachangia hapa ili huu umeme huende kwenye line za industrial areas sidhani kama watakataa au Generator kubwa la ku-supply mtaa mzima na excess inayobaki kuwauzia tanesco (kumbuka hapa tutakuwa hatuuzi reja reja)
In my view, Plan C ni kulazimisha Plan A ifanye kazi kwa nguvu ya umma. Hatuwezi kutafuta Plan C tuwaachie Serikali wakusanye kodi halafu wanagawana kwa mtindo wa biashara ya aina ya UDA.
Mnyika peke yake hawezi, lazima sote tushiriki. He has played his role already as you said.
Nilichokusudia kukueleza ni kuwa, mfano watu 30 kwenye industrial area wamechangia lakini wengine 10 hawakutaka kufanya hivyo. Umeme ukizalishwa na TANESCO hakuna atakaeweza kuwazuwia hao wafanya biashara wasio changia kutumia umeme huo. Na itatagemea wasiochangia wana demand kubwa kiasi gani pia. Ikiwa demand yao ni kubwa, gharama za umeme kwa siku kwako wewe inaweza ikawa ni ile ile tu.
Usisahau kuzingatia kuwa hela yako uliyochangia haitaweza kurudi hadi watu walipe bills zao pia.
Sipo kukuvunja moyo lakini nakupa reality ya hali ilivyo.
Hilo la kuiuzia umeme Tanesco uliobakia unaongozwa na sheria za feed in tariff ambazo as far as I know sheria inawaruhusu kununua umeme kutoka tu kwa vyanzo vyenye a certain minimum production, chini ya hapo sheria haiwaruhusu kununua (Na ndio maana mtu mwenye solar panel umeme wake hawezi kuiuzia tanesco, au mwenye bio-fuel generator nyumbani)
Tunaweza kuanza kwa kulazimisha Tanesco kushusha viwango vyao vinavyolazimika kwa feed in tariff kwanza
Mhh nadhani haujanipata Gaijin hapa mimi ninaongelea short term solution na sio kwamba iwe the way to go.., bali ni symbolic.., na kama Tanesco wanaweza kununua au kukopa vyombo vya kuzalishia pengine basi na sisi wanajamii tunaweza tukawakopa mafuta yetu (pesa zetu) na watu wataendelea kulipia according to their meters na hapo wanajamii tunaweza kuidai Tanesco in the near future au tuka-minize tulichowakopa kwenye usage yetu... (mfano I we owe you 20,000/= our bill normally is 100/= a month therefore we owe you 200 months of service)
Lakini all in all in the long run huenda hii ikawa expensive solution lakini the first thing ni kuonyesha we can (as symbolic)... na hata kama kuwashauri Tanesco wapunguze feed in Tariff who is better to do... kama sio viongozi wetu..,
<br />Kwahiyo mkuu huamini kabisa kwamba unaweza ukatumia non-violence na ukapata results bora zaidi kuliko kwa kutumia nguvu.., kwahiyo mi naona njia nzuri na rahisi (ambayo pia haiwezi ikawa mis-qouted) kama vurugu ni kuonyesha maovu ya hawa waliomadarakani na wananchi wenyewe watawaondoa madarakani (yaani jamii nzima itasema imechoka)... kuliko watu wachache wakipinga wata-spin kwamba hawa jamaa ni wapenda fujo na baba na bibi zetu vijijini wataamini...<br />
<br />
By the way kwahiyo unasema tukae gizani mpaka pale tutakapowaondoa madarakani
Mkuu jua kwamba unapoongea hata suala la kuchangia mafuta unaongelea asilimia 14 tuu ya watumiaji wa umeme
Sio watanzania wote wanafaidika na huo umeme unausemea na sio wote watakuwa tayari kufanya hilo unalotaka
Tunalotaka ni kujua kuwa uwezekano wa kuwa na uhakika wa umeme kwa watanzania wengi kwa pamoja na usambazaji uwafikie walengwa wengi na ndio hapo hilo la kwako unaweza kulisema
Ila kusemea asilimia 14 ya watanzania wafanye hilo unalolitaka mkuu n i pagumu sana
<br />Mkuu hizi ndoto zitaisha lini <br />
Muda wa kuchukua hatua ni sasa <br />
Mwaka tuoka wachaguliwe unakatika na hatuna lolote la kujivunia na ndo tunazidi kudidimia zaidi na zaidi<br />
Tusubiri mpaka lini <br />
Malalamiko tumeshatoa mpaka yamepitiliza na hatuoni kama kuna suluhisho<br />
Bado tuu tuendelee kulalamika
VoiceOfReason
Nilikuwa nakuonyesha hali kisheria ilivyo hata kama unataka Tanesco izalishe umeme kwa dakika tano. Ili usije ukakwama baina ya theories and practices.
Mfumo wa kumkopesha Tanesco na kukulipa labda service is a very complex system which practically is difficult to run
Juu ya hivyo iwapo ni kwa ajili ya kuonyesha as symbolic tu, hakuna kinachoshindikana, japokuwa ingekuwa Mimi Tanesco ningetumia vipengele vyote vya sheria vilivyopo kuzuwia hilo kutokea. Nisingeweza kuruhusu kutokeasymbolic tu at my expense.
<br />
<br />
Hakuna haja ya kusubiri,wakati ni sasa na ninaamini hawataweza ku spin dhima ya uamuzi huo mgumu,tayari wananchi wamechoka...Wamechoshwa na ugumu wa maisha na sarakasi za hao tunaowaita viongozi wetu.Huku vijijini watu wamepigika mbaya wanasubiri kipenga kipulizwe,waingie mtaani!Kuwachangisha ni kuzidi kuwaongezea maumivu.
Ni kweli asilimia kubwa sana ya Tanzania haina umeme (na hapo tunahitaji long term solution.., sio kutatua tatizo la muda mfupi) lakini kwa sasa tupo on total blackout hata wale wachache ambao huwa wanapata umeme sasa hivi hawana umeme kwahiyo swali ni tunafanya nini kwa short term solution..? (sababu uchumi upo at a standstill)
long term hatuna njia bali ni kuwa-force Serikali iliyomadarakani ili ielekeze kodi zetu panapofaa ili tuweze kupata miradi ya maada na sio hii ya kuziba ziba inayofanyika sasa
Ndo maana nasema we need another step now hapa tulipo na tulilofanya linatutosha na tukiendeela na hali hii sioni kama kuna suluhisho na wala hatuna viongozi wenye utashi wa kutatua hali hii
TUnahitaji sasa solution ya hili tulilo nalo na sio kulalamika tena maana tutalalamika wee mpaka tutakuwa kama kasuku