Mheshimiwa JOHN MNYIKA atoa ufumbuzi wa tatizo la MAJI eneo la KIMARA hadi UBUNGO

KakaNanii

JF-Expert Member
Sep 28, 2008
325
52
Mbuge wa Jimbo la Ubungo kwa tiketi ya CHADEMA Mhesimiwa John Mnyika ameeleza chazo cha kukosekana mara kwa mara kwa maji ya bomba katika maeneo ya Ubungo hadi Kimara, wakati bomba kuu la maji linapita maeneo hayo hayo. Mheshimiwa Mnyika amesema chanzo ni uozo wa kiutendaji uliopo katika Mamlaka ya Maji safi na maji taka DAWASCO, eneo la Kimara hadi Ubungo kwa kula njama na wafanyabiashara wa maji wenye malori hivyo kuzuia au kufunga maji katika maeneo hayo ili kuleta uhaba wa maji wa kujitakia na baadae wafanya biashara hao wa maji kuvuna mapesa ya chee kwa kuuza maji kwa bei ya juu sana.


Tayari baada ya kuligundua hilo Mheshimiwa John Mnyika amefanya juhudi za makusudi zilizopelekea meneja wa DAWASCO anaeshughulikia eneo hilo kutimuliwa kazi. Pia Mheshimiwa Mnyika ameitaka EWURA kudhibiti kikamilifu bei ya maji kwa mtumiaji wa kawaida. Amesema EWURA imeshikia bango bei za mafuta tu na kusahau bei za maji. Ambayo ni huduma ya lazima tena ni ya kila siku kwa kila mwanadamu.
 
sound tu hizo..tangu mwaka jana anasema tu hivohivo..angejua wakazi wa kimara mwisho tunavopata tabu ya maji..asingekua anatupiga danadana tuu daily..
 
Muoneeni huruma, Bado kijana mdogo, zitto na mbowe wanaendelea kuwalea, mdee pia, kawe na ubungo mlichagua watoto
 
Mbuge wa Jimbo la Ubungo kwa tiketi ya CHADEMA Mhesimiwa John Mnyika ameeleza chazo cha kukosekana mara kwa mara kwa maji ya bomba katika maeneo ya Ubungo hadi Kimara, wakati bomba kuu la maji linapita maeneo hayo hayo. Mheshimiwa Mnyika amesema chanzo ni uozo wa kiutendaji uliopo katika Mamlaka ya Maji safi na maji taka DAWASCO, eneo la Kimara hadi Ubungo kwa kula njama na wafanyabiashara wa maji wenye malori hivyo kuzuia au kufunga maji katika maeneo hayo ili kuleta uhaba wa maji wa kujitakia na baadae wafanya biashara hao wa maji kuvuna mapesa ya chee kwa kuuza maji kwa bei ya juu sana.


Tayari baada ya kuligundua hilo Mheshimiwa John Mnyika amefanya juhudi za makusudi zilizopelekea meneja wa DAWASCO anaeshughulikia eneo hilo kutimuliwa kazi. Pia Mheshimiwa Mnyika ameitaka EWURA kudhibiti kikamilifu bei ya maji kwa mtumiaji wa kawaida. Amesema EWURA imeshikia bango bei za mafuta tu na kusahau bei za maji. Ambayo ni huduma ya lazima tena ni ya kila siku kwa kila mwanadamu.

Wajinga kweli wali wao aisee. Hizi kauli za mnyika nimeanza kuzisikia tangia anapata ubunge, sio mtendaji Bali ni mbwabwatukaji tu. Hana meno, na hili ndilo tatizo lakuchagua wabunge wapinzani wasio na meno, na arumeru wasifanye kosa Kama hili aisee
 
Wajinga kweli wali wao aisee. Hizi kauli za mnyika nimeanza kuzisikia tangia anapata ubunge, sio mtendaji Bali ni mbwabwatukaji tu. Hana meno, na hili ndilo tatizo lakuchagua wabunge wapinzani wasio na meno, na arumeru wasifanye kosa Kama hili aisee

Kwa uchunguzi wangu inaonyesha kikundi cha propaganda za CCM mna hasira sana na Mnyika, wachangiaji wote wengine inaonyesha mmejiunga karibuni JF wakati huu wa uchaguzi wa arumeru, mna post chache. Kazi yetu ni kutaka kuonyesha CHADEMA na wabunge wake hawafanyi kitu.

GeniusBrain pekee ndio unaonyesha una post nyingi lakini kwa kuandika kwako kuwa uko CHADEMA makao makuu unaonyesha kabisa wewe upo CCM makao makuu.

Tuliozoea habari za uchunguzi tunasubiri mjibu hoja za muanzishaji wa hii thread-ni ukweli Mnyika amefanya meneja wa DAWASCO Kimara achukuliwe hatua? Ni ukweli kuwa EWURA haisimamii vizuri bei ya maji kama ilivyo kwa upande wa mafuta?

PM
 
acheni uzushi nyie,kwani kazi ya mbunge ni kuweka mabomba!?
watendaji wa ccm wanafanya nini hadi wamsubilie mbunge?
kuna mkuu wa wilaya,mkoa,mkurugenzi,waziri,MP na kikwete,
Hawalijui hilo???
miaka 50,ccm imekaa tu ubungo,mbona haijaweka hayo maji?
tatizo vinywa vyenu vimejaa umbea na harufu za ufisadi tu.
kazi zenu kula hela za walala hoi kisha kusubilia kumhukumu
mbunge aliekaa miaka 2 tu wakati nyie 50 mmechemsha.
BIGUP MNYIKA,kaza buti.tupo pamoja
pipoooooooozzzzzzzzz!!!!!!!!
 
Mbuge wa Jimbo la Ubungo kwa tiketi ya CHADEMA Mhesimiwa John Mnyika ameeleza chazo cha kukosekana mara kwa mara kwa maji ya bomba katika maeneo ya Ubungo hadi Kimara, wakati bomba kuu la maji linapita maeneo hayo hayo. Mheshimiwa Mnyika amesema chanzo ni uozo wa kiutendaji uliopo katika Mamlaka ya Maji safi na maji taka DAWASCO, eneo la Kimara hadi Ubungo kwa kula njama na wafanyabiashara wa maji wenye malori hivyo kuzuia au kufunga maji katika maeneo hayo ili kuleta uhaba wa maji wa kujitakia na baadae wafanya biashara hao wa maji kuvuna mapesa ya chee kwa kuuza maji kwa bei ya juu sana.


Tayari baada ya kuligundua hilo Mheshimiwa John Mnyika amefanya juhudi za makusudi zilizopelekea meneja wa DAWASCO anaeshughulikia eneo hilo kutimuliwa kazi. Pia Mheshimiwa Mnyika ameitaka EWURA kudhibiti kikamilifu bei ya maji kwa mtumiaji wa kawaida. Amesema EWURA imeshikia bango bei za mafuta tu na kusahau bei za maji. Ambayo ni huduma ya lazima tena ni ya kila siku kwa kila mwanadamu.

Mnyika usiwe mwoga wanaofanya biashara ya maji unawajua TENA ni wanachama wa CDM; leo unawasingizia DAWASCO kuwa wanashirikiana nao!!! Huo ni uzushi; kuwa mkweli na UTHUBUTU wa kuwakanya akina Mangi kuvuruga miundo mbinu ya maji ili wauze maji
 
acheni uzushi nyie,kwani kazi ya mbunge ni kuweka mabomba!?
watendaji wa ccm wanafanya nini hadi wamsubilie mbunge?
kuna mkuu wa wilaya,mkoa,mkurugenzi,waziri,MP na kikwete,
Hawalijui hilo???
miaka 50,ccm imekaa tu ubungo,mbona haijaweka hayo maji?
tatizo vinywa vyenu vimejaa umbea na harufu za ufisadi tu.
kazi zenu kula hela za walala hoi kisha kusubilia kumhukumu
mbunge aliekaa miaka 2 tu wakati nyie 50 mmechemsha.
BIGUP MNYIKA,kaza buti.tupo pamoja
pipoooooooozzzzzzzzz!!!!!!!!

Acha mapenzi kwa Mnyika na ukumbuke ahadi zake; ALITUAHIDI pale Bonyoko kuwa atatumia siku 100 za kwanza za Ubunge kuhakikisha MAJI SAFI na SALAMA yanapatikana, pia tatizo la maji jimboni Ubungo litakuwa ni historia. Leo hii anakuja na visingizio kibao
 
Acha mapenzi kwa Mnyika na ukumbuke ahadi zake; ALITUAHIDI pale Bonyoko kuwa atatumia siku 100 za kwanza za Ubunge kuhakikisha MAJI SAFI na SALAMA yanapatikana, pia tatizo la maji jimboni Ubungo litakuwa ni historia. Leo hii anakuja na visingizio kibao

Inaonyesha wewe sio mkazi wa Jimbo la Ubungo, hakuna mahali panapoitwa Bonyoko. Wazushi wa CCM mko wengi humu.

serayamajimbo
 
Mnyika usiwe mwoga wanaofanya biashara ya maji unawajua TENA ni wanachama wa CDM; leo unawasingizia DAWASCO kuwa wanashirikiana nao!!! Huo ni uzushi; kuwa mkweli na UTHUBUTU wa kuwakanya akina Mangi kuvuruga miundo mbinu ya maji ili wauze maji

Kwa hiyo waliouza maji miaka 50 ya uhuru walikuwa ni wanaCCM wenzenu? Acheni uzushi, mbunge kazi yake ni uwakilishi. Mnyika ametimiza wajibu wake, hata wana JF wengine humu tumepata kulijua kwa undani jimbo la Ubungo kupitia taarifa zake za mara kwa mara
 
sound tu hizo..tangu mwaka jana anasema tu hivohivo..angejua wakazi wa kimara mwisho tunavopata tabu ya maji..asingekua anatupiga danadana tuu daily..
we chizi nini unafikiri anapesa mfukoni yakukulea maji,niwajibu wa serekali yeye nimsimamizitu,na jitiada anazo fanya zipo wazi so sijui unataka ufanyiwe nini.
 
Sie huku wa Isoka C Iringa tushayazoea hayo wala hatuhitaji ufafanuzi,IRUWASA Wanakumbuka kudai bili tu tena wamekuwa NUNGUNUNGU hawaguswi
 
Tatizo ni ahadi, usiahidi vitu ambavyo huwezi kutekeleza! Swala la maji ni kubwa kuliko mbunbe kiukweli.
 
heko mnyika kwa kuwa karibu na wananchi wako...achana na watu ambao hawaishi ubungo,sisi tunaoishi ubungo tunaona jitihada zako
 
acha uzushi,kikwete ka-ahidi vingapi,toka 2005,kafanya nini? ahadi,matusi,kejeli mmejaza nyie magamba.miaka 50 mmejaza mafisadi tu na matusi ndio zenu sera..
simama kwenye ukweli..ccm imefanya nini ubungo.
Kila siku mnajigamba hata akichaguliwa upinzani sera ni zenu zinazotumika,iwe umkomalie bango mnyika.!
ACHENI KUTAPATAPA........
 
kama kungekuwa na kura ya kumuondoa mbunge huyu mtoto tungemuondoa, sound nyingi vitendo hakuna, siku hizi alhamdulillah ametengenezd shavu. miaka 5 ikiisha anipishe na mimi nitengeneze shavu.
 
...na baadae wafanya biashara hao wa maji kuvuna mapesa ya chee kwa kuuza maji kwa bei ya juu sana.
Really? Maji Ubungo, Kimara, Mbezi yanauzwa elfu tatu, elfu tano, kwa tanki la cubic meter moja, lita elfu moja za ujazo. Upo hapo?

Sasa, unless unafanya mradi wa kusafisha magari au unazalisha mpunga, lita elfu tano kwa familia ya kawaida yanatosha kwa wiki mbili, tena unayapata on demand, yanakuwa delivered bure, yametoka kwenye bomba, kwa hiyo sio machafu yenye chumvi za visima, hakuna ku deal na bill za uongo za DAWASCO, na most of all, more than anything, is reliable!

Mnyika kusema DAWASCO wana collude na wafanyabiashara huwezi kuhitimisha really "katoa ufumbuzi."
 
Really? Maji Ubungo, Kimara, Mbezi yanauzwa elfu tatu, elfu tano, kwa tanki la cubic meter moja, lita elfu moja za ujazo. Upo hapo?

Sasa, unless unafanya mradi wa kusafisha magari au unazalisha mpunga, lita elfu tano kwa familia ya kawaida yanatosha kwa wiki mbili, tena unayapata on demand, yanakuwa delivered bure, yametoka kwenye bomba, kwa hiyo sio machafu yenye chumvi za visima, hakuna ku deal na bill za uongo za DAWASCO, na most of all, more than anything, is reliable!

Mnyika kusema DAWASCO wana collude na wafanyabiashara huwezi kuhitimisha really "katoa ufumbuzi."

Huyu Mnyika amezidi uchochezi, ndio maana DAWASA wakamlakamikia. Haiwezekani ukawa mbunge halafu kwenye wiki ya maadhimisho ya maji badala ya kuungana na viongozi wa serikali yeye anafanya uchochezi: JOHN MNYIKA: WIKI YA MADAI YA MAJI
 
Back
Top Bottom