Ule mkakati tuliotaarifiwa kuwa unasukwa kuwagombanisha viongozi wa Chadema sasa umewiva na uko mezani, lakini nauona umechacha. Labda watakula walevi tu wasioweza konja ladha ya kitu.
Kama nilivyosema humu ndani ni washabiki wa CHADEMA.nahawapendi kukosolewa. ZITTO ni kweli anahusika na hizo tuhuma ila mtamtetea mkidai ni njama za inteligencia wanavuruga,nilishangaa sana magazeti ya mwanahlisi wiki iliyopita walimficha angekuwa ni wa CCM wangemtaja,kumbe mwanahalisi ni bias si gazeti transparency kama nilivodhani. YUle kijana mtuhumiwa alipata kipigo pale makao makuu na vijana wa CHADEMA hawakuripoti.
Kama nilivyosema humu ndani ni washabiki wa CHADEMA.nahawapendi kukosolewa. ZITTO ni kweli anahusika na hizo tuhuma ila mtamtetea mkidai ni njama za inteligencia wanavuruga,nilishangaa sana magazeti ya mwanahlisi wiki iliyopita walimficha angekuwa ni wa CCM wangemtaja,kumbe mwanahalisi ni bias si gazeti transparency kama nilivodhani. YUle kijana mtuhumiwa alipata kipigo pale makao makuu na vijana wa CHADEMA hawakuripoti.
Kama nilivyosema humu ndani ni washabiki wa CHADEMA.nahawapendi kukosolewa. ZITTO ni kweli anahusika na hizo tuhuma ila mtamtetea mkidai ni njama za inteligencia wanavuruga,nilishangaa sana magazeti ya mwanahlisi wiki iliyopita walimficha angekuwa ni wa CCM wangemtaja,kumbe mwanahalisi ni bias si gazeti transparency kama nilivodhani. YUle kijana mtuhumiwa alipata kipigo pale makao makuu na vijana wa CHADEMA hawakuripoti.
hawa mbona ni after money, hawa sio watetezi kabisa wa wananchi.
hivi kweli kuna watu wanona kuwa chadema ni kimbilio la wanyonge?
hawa wote ni wasaka tonge na hili linajulikana vyema
Kama nilivyosema humu ndani ni washabiki wa CHADEMA.nahawapendi kukosolewa. ZITTO ni kweli anahusika na hizo tuhuma ila mtamtetea mkidai ni njama za inteligencia wanavuruga,nilishangaa sana magazeti ya mwanahlisi wiki iliyopita walimficha angekuwa ni wa CCM wangemtaja,kumbe mwanahalisi ni bias si gazeti transparency kama nilivodhani. YUle kijana mtuhumiwa alipata kipigo pale makao makuu na vijana wa CHADEMA hawakuripoti.
Naona hii JF = CHADEMA
Nimeuliza Swali dogo sana KUNA MWENYE UHAKIKA???
Issue iko kwenye WANABIDII forum already
Kama sikosei, tangazo hili ni la TAMWA si HAKIELIMU.Tangazo la haki elimu limelea athari....hatudanganyiki....:glasses-nerdy:
Nenda wanabidii ukaendeleze udaku huko ......
Mkuu hebu nipe tafsiri kwenye hii picha
Remmy, hatuongelei ushabiki, hapa tunapanuana mawazo, ushabiki ndio uliotufikisha hapa tulipo, wa-tz hawapaswi kutoa maamuzi kwa ushabiki, badala yake tu analyse critically wagombea wetu ktk vyama vyote na kwa ngazi zote, kama kuna weak link tuna 'eliminate' na kusonga mbele. Deep down the brain of urs u admit that ccm imebolonga kwa kiasi kikubwa, bila ya ushabiki wala nini, honestly, inapaswa ikae benchi!
Kuhusu Zitto, hata mimi kuna kipindi sikumuelewa alipoanza kujaribu kutetea uozo. Hata hivyo naamini ni binadamu sometime anaweza teleza! Na kama amehusika ktk hili la rushwa hapaswi kutetewa, he must be responsible 4 his own actions!
Ya Professor ileHapo juu nimeona picha ya Kikwete (kama sikosei). ...... ha ha ha
MTU 66...... NIKUPE USHAURI KIDOGO.......CHUO KIKUU CHA DAR-ES-SALAAM(UDSM).A.K.A MLIMANI......wao huamini hakuna chuo kingine zaidi yao......lakini ukweli ni kwamba VINGI VIPO TENA VINGI TU......the same to jamiiforums a.k.a chadema....! they think they are the only think tank of the tanzanian population politically(aas they stand on chadema and chadema on them).....they dont need anything negative, even if its true...! as i said simamia ukweli,uwazi heshima ya member mmoja mmoja kama nimuonavyo MWANAMOSI JAPO AMEJOIN AUGUST 2010
How do you know that it is RUBBISH!!!!
Mind you I am not a member of any party...[/QUOTE]
i HOPE you do not know which is your left hand or right hand pack off