KEEP ON HOPING!!! I don't have time for that!!!!
You dont have time for what?
KEEP ON HOPING!!! I don't have time for that!!!!
You dont have time for what?
Zitto tunaomba maelezo yako kuhusu kuhusika kwako na Kuhongwa kwa Mgombea wa CHADEMA Musoma Vijijini - SMS zilikutwa kwa Mgombea huyo zikikuhusisha wewe ndio maana hukuweza kutokea kwenye Ufunguzi wa Kampeni Za Chadema na hujaonekana Makao makuu ya Chama kitambo
Hapa sijui mleta mada ana evidence au ni udaku tu? Ila kwa zito, sina imani naye japo si kwa hili lakini kwa mengine mengi. Natumia sarafu yangu ya demokrasia, "Sina imani na Mh. Zitto Kabwe".
Mkuu, I know kuwa you know that Zitto hajapost hapa for a while. Unachojaribu kufanya ni kuanzisha mgogoro usiokuwepo ndani ya chadema. Wajanja walishakushtukia siku nyingi sana na wakakutafutia hii picha hapa: