Nasikia kuna kampuni linataka limwajiri kwenye kliniki yao kwaajili ya kunyamazisha watoto pindi wanapolia kwani mtoto akiambiwa mzee wa gombe huyo nyamaza!!!! akimuona lazima anyamaze kutokana na huo msura mzito kama zege
Hivi wassira naye bado ni mtu wa kutiliwa maanani?
Nadhani hata uwezo wake wa kufikiri na kutathmini siasa umekwisha kabisa, kwahiyo akilala ,akiamka anaiona Chadema ikichukua uongozi wa nchi, sasa analazimika kuongea lolote linalomjia kichwani bila kutafakari.
Juzi tu amezomewa sana na wananchi wa jimboni kwake bunda, sasa kwanini asirukwe na akili? hiki kimbunga cha M4C kinawatisha nyinyiem na hivyo wanajikuta wanajiropokea tu bila kujua wanaongea nini.
Hapana ni huyu hapa.....Yupi mkuu, au ndiye huyu hapa?
View attachment 55609
Baba yako na Babu yako ni wazuri kiasi gani kwa nini wao wasiajiriwe hapo
Siyo huyo anamaanisha huyu hapa, usirudie tena kumfananisha binaadam na mnyama
View attachment 55623
siyo huyo anamaanisha huyu hapa, usirudie tena kumfananisha binaadam na mnyama
View attachment 55623
Hujafa hujaumbika, ole wake aitukanaye kazi ya mungu.
Nasikia kuna kampuni linataka limwajiri kwenye kliniki yao kwaajili ya kunyamazisha watoto pindi wanapolia kwani mtoto akiambiwa mzee wa gombe huyo nyamaza!!!! akimuona lazima anyamaze kutokana na huo msura mzito kama zege
Siyo huyo anamaanisha huyu hapa, usirudie tena kumfananisha binaadam na mnyama
View attachment 55623