Mhe. Saada Mkuya

Mhe. Saada Mkuya

Kwa heshika ya JF, posts kama hizi zinatakiwa zifutwe.
Huu ni udhalilishaji kabisa, yule inawezekana ni mke wa mtu na pia ni mama wa mtu, na hata kama si hivyo bado sio vizuri kumdhalilisha kiasi hiki. Umeanzisha hii post ukijua kabisa kuna watu watakuja na posts za ajabu. This is out of scope of 'great thinkers'

Inaonekana wazi kuwa alikusudia kumdhalilisha huyu mama ila aelewe kuwa atakapodhalilishiwa mzee wake, au mkewe,au dada yake ni malipo ya dhambi hii. Inashangaza udhalilishaji huu haujafutwa bado!
 
Mimeno ile imeota kwa spacing halafu eti mtu anampendaaaaaa....mxxxxxii
 
Kwa heshika ya JF, posts kama hizi zinatakiwa zifutwe.
Huu ni udhalilishaji kabisa, yule inawezekana ni mke wa mtu na pia ni mama wa mtu, na hata kama si hivyo bado sio vizuri kumdhalilisha kiasi hiki. Umeanzisha hii post ukijua kabisa kuna watu watakuja na posts za ajabu. This is out of scope of 'great thinkers'

Ingekuwa thread inamuhusu ZITTO KABWE ingeshafutwa muda mrefu,
 
Inaonekana wazi kuwa alikusudia kumdhalilisha huyu mama ila aelewe kuwa atakapodhalilishiwa mzee wake, au mkewe,au dada yake ni malipo ya dhambi hii. Inashangaza udhalilishaji huu haujafutwa bado!

Samahani naomba kujuwa nani kamdhalilisha huyu mama
Mtoa mada kasema anampenda je nikosa udhalilishaji labda kwa wachangiaji ambao huwezi kuzuia
 
Kupenda siyo vibaya. Kama ni zaidi ya upendo kumbuka yule ni mke wa mtu na anawatoto pia, na inawezekana ni umri wa mama yako au zaidi. Jaribu kuwa na staah/heshima kidogo. Siyo lazima kila unalolifikira basi ulitoe hadharani. Kama umeweza kumtangazia hapa basi hutoshindwa kumtangazia chochote.
 
Unapenda Ule Mpangilio Wake Mbovu Wa MENO na KINYWA? Ptuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!! Kinyaaaaaaa.....................Tupu.
Hapana jamani!Huyu dada ana kamvuto fulani hivi, pamoja na yote


SAADA MKUYA2.jpg SAADAMKUYA1.jpg
 
Mke wa mtu tena katoka maternity juzi tu. Hujipendi dogo. Keshapendwa zamani.
 
Huyu mheshimiwa jamani mi mwenzenu huwa nikianza kumuangalia hata sichoki.

Akili yote inahama kabisa yani mi nakuwa nataka tuuuuuuu huyu mheshimiwa jamani.

Akiwa anaongea mimi sauti yake na kale kapozi kake kama anaona aibu hivi mimi uuuuuwiii.

Kupenda huku kupenda jamani mi nawezaje angalau kupata fulsa kusema nae tuuuu huyu jamani.

Aunt katulia huyu wala sionagi kasoro ya maana kwake. Akili yangu yoooote ulingoni tu nimwonapo.

Saada jamani Saada kama upo humu jamaniiiiii hapa PM tu nilianzishe.

I don't care.

gonga hapa utampata saada mkuya
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom