the glassroof
JF-Expert Member
- Apr 25, 2017
- 279
- 422
Ni wakati wa mimi kufumba macho na kuziba masikio, tukivuka kwenye sakata hili naomba mnistue mwenzenu tuendelee na safari.
....ni mzinga wa jeshi.Mkapa ni kifaru cha jeshi
Kikwete ni .........
utasubiri sana mkuu. kama wahusika wakuu mkulu kasema wasiandikwe hata magazetini je mikataba itaenda bungeni?Nasubiri siku hiyo mikataba ikitinga bungeni, na kujadiliwa kwa uwazi, nitapaka bati za nyumba yangu rangi za kijani na kuchora jembe na nyundo.
Katiba na sheria zetu zisiporekebishwa tunachofanya hakina maana hata kidogo. Tunapoteza muda, maana Magufuli anaweza kufanya mambo mazuri lakini akaja mwingine akaharibu haya na ana kinga ya sheria mtamfanyaje? Surely we are not serious, on what we are doing. Sheria ndiyo chanzo cha haya yanayotokeaTupo kwenye mjadala wa madini. Kichwa cha habari ni MAKINIKIA. Mjadala umepamba moto. Tunakumbushana,tunasemana,tunatajana na kurekebishana. Kwa upana wa kitaifa.
Lakini,Rais na Mawaziri wako wawili wa Sheria na Katiba pamoja na yule wa Habari mmepunguza uwanja. Uwanja wa majadiliano. Mmekataza kutajwa kwa Mzee Mkapa na Mzee Kikwete kwenye mjadala.
Nakumbuka kivuko cha MV Bagamoyo nacho kilijadiliwa. Kuhusu ununuzi wake na matumizi yake. Rais ukatufunga mdomo kwa kukikabidhi jeshini. Ukatuambia kuwa sasa kimekuwa kifaa cha kijeshi na ni risk kukijadili. Tukanyamaza
Je,Mzee Mkapa na Mzee Kikwete nao wamekuwa vifaa vya kijeshi na hivyo hawajadiliki? Waliotajwa tuwajadili?
Bastola ya nini tena jamani!?
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Ukweli mchungu huo
Akili kichwani mwako
MENO YA MBWA HAYAUMANI!Tupo kwenye mjadala wa madini. Kichwa cha habari ni MAKINIKIA. Mjadala umepamba moto. Tunakumbushana,tunasemana,tunatajana na kurekebishana. Kwa upana wa kitaifa.
Lakini,Rais na Mawaziri wako wawili wa Sheria na Katiba pamoja na yule wa Habari mmepunguza uwanja. Uwanja wa majadiliano. Mmekataza kutajwa kwa Mzee Mkapa na Mzee Kikwete kwenye mjadala.
Nakumbuka kivuko cha MV Bagamoyo nacho kilijadiliwa. Kuhusu ununuzi wake na matumizi yake. Rais ukatufunga mdomo kwa kukikabidhi jeshini. Ukatuambia kuwa sasa kimekuwa kifaa cha kijeshi na ni risk kukijadili. Tukanyamaza
Je,Mzee Mkapa na Mzee Kikwete nao wamekuwa vifaa vya kijeshi na hivyo hawajadiliki? Waliotajwa tuwajadili?
Bastola ya nini tena jamani!?
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Serikali imetaharuki. PhD3 (mbili zikiwa za sheria) zinatufundisha demokrasia. Inanikumbusha Kenya miaka ya 1970's Njonjo alipiga mkwara kuwa kufikiria Mzee Jomo atakufa au kuwaza tu nani atamrithi ni kosa la jinai na adhabu yake ni kifo (Sir Charles Njonjo wakati huo alikuwa Attorney General)Tupo kwenye mjadala wa madini. Kichwa cha habari ni MAKINIKIA. Mjadala umepamba moto. Tunakumbushana,tunasemana,tunatajana na kurekebishana. Kwa upana wa kitaifa.
Lakini,Rais na Mawaziri wako wawili wa Sheria na Katiba pamoja na yule wa Habari mmepunguza uwanja. Uwanja wa majadiliano. Mmekataza kutajwa kwa Mzee Mkapa na Mzee Kikwete kwenye mjadala.
Nakumbuka kivuko cha MV Bagamoyo nacho kilijadiliwa. Kuhusu ununuzi wake na matumizi yake. Rais ukatufunga mdomo kwa kukikabidhi jeshini. Ukatuambia kuwa sasa kimekuwa kifaa cha kijeshi na ni risk kukijadili. Tukanyamaza
Je,Mzee Mkapa na Mzee Kikwete nao wamekuwa vifaa vya kijeshi na hivyo hawajadiliki? Waliotajwa tuwajadili?
Bastola ya nini tena jamani!?
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Nakuambia wamemuharibia magufuli tayari. Bora wangekaa kimya. Wenye akili tulishajua na kung'amua kinachoendelea.Tanzania ni ajabu la nane la dunia
Hamna cha kupigana vita wala nini .Magufuli anajishushia tu heshima yake.Mnafungia gazeti kwa sababu limemtuhumu Mkapa na Kikwete kwa wizi? Magufuli is not serious at all! This is "it cant be!!"
Kwani kamati za rais ndio zimechimbua kila kitu? Kwamba hamna other source of information nje ya hizo kamati mbili?
MATUMANI HEWA SAWA NA MAISHA BORA HEWA KWA KILA MTANZANIA
Kuna kipindi Sizonje zinamruka na kujiona mtakatifu hasa akiona kamera baadae zinarudi akikumbuka alivyohifadhiwa madudu yake.Anakiogopa kivuli chake na cha wastaafu!!! Mwanzoni alimsema JK kuwa amefanya mambo ya hovyo (uzinduzi wa Maktaba UDSM) leo amekomaa anawalinda kwa nguvu zote maana yeye pia ana mikono michafu.... nyumba na meli mbovu ya jeshi!! Ahhahahaha
CCM CCM CCM CCM CCM CCM CCM CCM . . , CHAMA CHA MAJAMBA&1 . . .Ukiwakuta wanaongea kwa hisia unaweza kufikiri wameguswa na wameumizwa sanaaaa kumbe unafiki mtupuu.Hajui maskini nchi nyingine marais wastafu wamefungwa,kwingine bado wanakesi za kuharibu walipokuwa madarakani.hawa wakwetu wameharibu uchumi wetu kwa usimamizi mbaya wa rasilimali zetu tushindwe tu hata kuwataja hata kwa sababu za kuwafundisha watawala waliopo na wanao kuja umuhimu wa kufanya vizuri wanapopata nafasi kwa sababu kunakuulizwa baada ya kumaliza kutumikia nafasi zao,nako ni kosa?Ma rais wa Tanzania wamekuwa watakatifu kiasi cha kutokukosolewa wakitoka madarakani?,2020 waondoke hawa watu mweeeee angalau tubadilishe hata stori za kuongea.
Tumewachoka kwa ujinga,ila huyu wa sasahivi pengine ni kiboko kuliko wenzake,CCM CCM CCM CCM CCM CCM CCM CCM . . , CHAMA CHA MAJAMBA&1 . . .
Na Mimi nimeliona!Mzee Tupatupa,
Nimekuwa najiuliza kwa nini huu mjadala wa makanikia uanzishwe wakati huu wa bunge la bajeti ilhali ungekuwa ni wakati muafaka kwa wananchi kufuatilia na kufahamu jinsi serikali ilivyotekeleza bajeti ya 2016/17 ili waweze kupima utendaji wake?
Naona hii hadithi ya makanikia imefunika kabisa bunge la bajeti. Je hii imepangwa kiujanja au imetokea tu?
Naona kuna goli la mkono hapa!