sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
Kwanza nikupongeze kwa kuteuliwa kwako kushika nafasi hiyo. ingawa nilipata wasiwasi kwa uteuzi huo.
ni wapi wasi wasi wangu ulipojikita na nikajiridhisha niko sahihi
wewe ni naibu waziri (wa serikali) nilitegemea ulipopata uteuzi huo tu utazungukia taasisi zilizo chini ya wizara yako, ulifanya hivyo lkn kubwa lililobeba wasiwasi wangu, ulifanya ziara airtel, zantel na vodacom lakini taasisi iliyoko chini ya serikali TTCL HUKUSHUGHULIKA NAYO, ukalala mbele bungeni.
Muda tukawaona vodacom huko mjengoni(.............?)
TUNATEGEMA MAFANIKIO MAKUBWA CHINI YA UONGOZI WAKO HASA KWA TAASISI YA UMMA.
ni wapi wasi wasi wangu ulipojikita na nikajiridhisha niko sahihi
wewe ni naibu waziri (wa serikali) nilitegemea ulipopata uteuzi huo tu utazungukia taasisi zilizo chini ya wizara yako, ulifanya hivyo lkn kubwa lililobeba wasiwasi wangu, ulifanya ziara airtel, zantel na vodacom lakini taasisi iliyoko chini ya serikali TTCL HUKUSHUGHULIKA NAYO, ukalala mbele bungeni.
Muda tukawaona vodacom huko mjengoni(.............?)
TUNATEGEMA MAFANIKIO MAKUBWA CHINI YA UONGOZI WAKO HASA KWA TAASISI YA UMMA.