Mhe. Mbowe kutikisa Kyela

Mhe. Mbowe kutikisa Kyela

amba.nkya

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2010
Posts
446
Reaction score
131
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe. Mbowe anatarajia kuwasili wilayani Kyela siku ya Ijumaa 22 Mei kwa shughuli za ujenzi wa chama makini CHADEMA ambapo anatarajiwa kuzindua Red Brigade, kufanya kikao cha ndani cha viongozi wa chama wa Wilaya pamoja na watia nia wa Ubunge na hatimaye kuhutubia mkutano wa hadhara.
Ujio wa Kiongozi Mkuu wa Upinzani Bungeni unasubiriwa kwa hamu kubwa na wanaKyela ambao kwa muda mrefu wanatamani sana kumuona Kamanda wa Anga.

Stay tuned...!

Mdau: Kyela Mjini Sokoni.
 
Tarehe 24 atakuwa Kawe Dar es Salaam for the same mission lakini atahutubia mkutano wa hadhara Tanganyika Packers
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe. Mbowe anatarajia kuwasili wilayani Kyela siku ya Ijumaa 22 Mei kwa shughuli za ujenzi wa chama makini CHADEMA ambapo anatarajiwa kuzindua Red Brigade, kufanya kikao cha ndani cha viongozi wa chama wa Wilaya pamoja na watia nia wa Ubunge na hatimaye kuhutubia mkutano wa hadhara.
Ujio wa Kiongozi Mkuu wa Upinzani Bungeni unasubiriwa kwa hamu kubwa na wanaKyela ambao kwa muda mrefu wanatamani sana kumuona Kamanda wa Anga.

Stay tuned...!

Mdau: Kyela Mjini Sokoni.
Tulishasema humuhumu kwamba cdm kyela inalamba jimbo na tukasema tena kwamba vile vikumbo vya ubunge ni changamoto tu , makao makuu ya cdm wanaona kila mahali , mkuu stand alone kama utakuwa ndani ya kikao tuwekee kila kitu , vinginevyo tumtegemee mkuu Amba. Nkya .
 
mkuu amba. nkya sehemu ndogo sana ya mjini kyela iliyobaki kukombolewa ni kijiji cha bondeni , hasa maeneo ya mkibhege club , kuna haja ya kuongeza nguvu maeneo ya mpanda hadi mahakama ya mwanzo mpaka kyerucu ( now kyecu ) ili tufagie kyela yote .
 
Tulishasema humuhumu kwamba cdm kyela inalamba jimbo na tukasema tena kwamba vile vikumbo vya ubunge ni changamoto tu , makao makuu ya cdm wanaona kila mahali , mkuu stand alone kama utakuwa ndani ya kikao tuwekee kila kitu , vinginevyo tumtegemee mkuu Amba. Nkya .
Mkuu! Kama sijakupata hivi.
 
Tulishasema humuhumu kwamba cdm kyela inalamba jimbo na tukasema tena kwamba vile vikumbo vya ubunge ni changamoto tu , makao makuu ya cdm wanaona kila mahali , mkuu stand alone kama utakuwa ndani ya kikao tuwekee kila kitu , vinginevyo tumtegemee mkuu Amba. Nkya .

Bila shaka mkuu Erythrocyte, nitajitahidi kuwa sambamba kuwaletea kila tukio, stay tuned...
 
mkuu amba. nkya sehemu ndogo sana ya mjini kyela iliyobaki kukombolewa ni kijiji cha bondeni , hasa maeneo ya mkibhege club , kuna haja ya kuongeza nguvu maeneo ya mpanda hadi mahakama ya mwanzo mpaka kyerucu ( now kyecu ) ili tufagie kyela yote .

Ahsante Erythrocyte, wafia chama na wapenda mabadiliko tutaelekeza nguvu zaidi vijijini na maeneo kama hayo kwa kutumia Operesheni Tokomeza CCM ambayo inakuja hivi karibuni kuelekea uchaguzi mkuu 2015
 
Ahsante Erythrocyte, wafia chama na wapenda mabadiliko tutaelekeza nguvu zaidi vijijini na maeneo kama hayo kwa kutumia Operesheni Tokomeza CCM ambayo inakuja hivi karibuni kuelekea uchaguzi mkuu 2015
Mimi Oparesheni Tokomeza CCM siipendI, mimi naipenda ile Oparesheni Delete CCM
Na hii pia naipenda Futa Delete Kabisa CCM
 
Chadema/UKAWA ni mpango wa MUNGU.
 
wiki 2 visima 6 ! hivi kwanini tusiwape jimbo hawa watu jamani ?
 
Ahsante Erythrocyte, wafia chama na wapenda mabadiliko tutaelekeza nguvu zaidi vijijini na maeneo kama hayo kwa kutumia Operesheni Tokomeza CCM ambayo inakuja hivi karibuni kuelekea uchaguzi mkuu 2015
hili andiko limenipa nguvu sana ! kwaheri kichocho na kipindupindu kyela .
 
Kyela hakuna kulala kimeelewrka.Naomba wanajamvi mnisaidie Mh Silinde amekaaje jimboni kwake?Natamani nimone tena the commimg binge.
 
Back
Top Bottom