Kweli Watanzania ni watu wajinga na wasahaulifu sana!!
Huyu huyu Haji Manara aliyejiuzuru nafasi ya Katibu Uenezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam kwa kashfa ya utapeli wa magari leo anafikiriwa kuwa Mstahiki Meya wa Dar?!
Yawezekana Tanzania ni chanel ya vichekesho huko mbinguni!