nsangaman
JF-Expert Member
- Jun 30, 2011
- 275
- 42
Katika taarifa ya habari tarehe 26.1.2011,waziri Maige akiwa Hifadhi ya Taifa Saadani ulio agizo kuwa TANAPA iajiri wananchi wanaoishi karibu na Hifadhi hiyo, marufuku kuajiri wasio wakazi wa karibu na Hifadhi.
Hivi Mhe.Waziri ulikuwa unamaanisha au ilikuwa ni kipiga changa la macho wananchi hao mbele ya Mbunge wao mhe.Pamba?
Hivi Mhe.Waziri ulikuwa unamaanisha au ilikuwa ni kipiga changa la macho wananchi hao mbele ya Mbunge wao mhe.Pamba?