Mhe. Lissu, 2015 imefika

Mhe. Lissu, 2015 imefika

Na sisi wanyiramba tunafurahi sana kwa mambo anayoyafanya Lissu kwa kutohamasisha maendeleo. Lissu uongoze miaka 100 ili tuwapige gape Wanyampaa

mkuu unafahamu kazi za mbunge? je kazi za serikali unazitambua? kama hakuna maendeleo huko ikungi wa kulaumiwa ni serikali inayokusanya kodi hapo singida. tatizo hilo la kutojitambua limepelekea hela yetu ya miradi ya maendeleo iliwe na wajanja wachache serikalini kama kina shabani gurumo na wenzao...
 
Nategemea na naamini Jf ni jukwaa na uwanja wa facts na sio fillings, tuambizane ukwel na tujisahihishe, jimbon kwa Lissu hali mbaya sana kimaendeleo na kwake pia kwa uchaguz ujao.

hamna mtu anaeweza kumtoa lissu jimbon hata aende membe...makongoro nasema noooooo
kwan misanga na wengine walifanya maendeleo gan kabla ya kuondoka???
hamna ukomboz mzur kama ukomboz wa kifikra........ukiondoa ujinga kichwan mbona mengine yataenda sawa!!!?
 
Wanyiramba tunamuombea Lissu Maisha marefu awaongoze Wanyaturu kwa zaidi ya miaka 100 ili akina Kitundu, Makala, Mzengi, Shillah, Msengi, Kingu Siku Moja wawaongoze wanyaturu kwa kila sector kama ilivyo Kituo Cha Afya Sepuka Mkuu wa Kituo Myiramba, wauguzi Wote Wanyiramba, Lab technicians Ni Wanyiramba Lakini walinzi Ni wanyaturu

haahaa kwani wanyiramba sio watanzania? mbona jimboni kwani majimbo ya ccm wafanyakazi wa maeneo hayo wote ni wa hapo? nimeamini ccm bila kupalilia ubaguzi haiendi...
 
Serikali za mitaa Lissu kakomba mitaa yote ya CCM..

Bahati nzuri nimeishi Mwangeza Iramba jangwani maji km 20... Nyumba za walimu za tembe, sasa sijui wanyeramba wamewazidi vipi wabyaturu??
Tembea mpaka Kidarafa hadi kinampanda hawajui maji ni kero... Shule hazina madawati.
Hii imepelekea wana Mkalama na Iramba kuiamini Chadema kwenye serikali za mitaa... Maji maji maji Iramba ni tatizo.

huu ukosefu wa maji wa kulaumiwa ni ccm na sio mwingine. kodi inazokusanya zina fanya nini?
 
Ni mjinga tu pekee ndio anaweza kumbeza lisu,,tatzo kubwa la tz hatujui kazi ya mbunge,,na hii ni kutokana na watu kulithi siasa,kisa baba ccm basi mtoto nae eti unakuwa ccm,,kama jimbo halina maendeleo laumu serikali na sio mbunge coz mbunge ni msemaji tu,,lakini pia ukumbuke kwamba ubunge sio kazi ya kudumu so huwa mtu anapoleta vitisho kama hivi ni unachekesha

mkuu hilo ni tatizo la ukosefu wa elimu ya uraia. lissu hakusanyi kodi. anayekusanya kodi ni serikali ya ccm. na tumeshuhudia pale bungeni serikali imepeleka pesa za maendeleo mikoani kwa 28% tu. je hapo wa kulaumiwa ni tundu lissu? je 72% ya hela za maendeleo zimekwenda wapi? ni ufisadi na kulindana. tukiendelea na serikali hii dhaifu ya ccm nchi yetu itazidi kurudi nyuma kwa umasikini. ...tunahitaji kina lissu wengi zaidi bungeni. hongereni singida mashariki.
 
hamna mtu anaeweza kumtoa lissu jimbon hata aende membe...makongoro nasema noooooo
kwan misanga na wengine walifanya maendeleo gan kabla ya kuondoka???
hamna ukomboz mzur kama ukomboz wa kifikra........ukiondoa ujinga kichwan mbona mengine yataenda sawa!!!?

mkuu huo ndo ukweli. naomba angalau mwaka huu tungepata kina lissu wengine kama 100 hivi angalau wananchi tujitambue...
 
Wadau kama kuna mtu anafuatilia utendaji wake na anataka kupambana na Huyu Nguli atakua mbumbuu na asieitakia mema nchi yetu. Lissu anatimiza wajibu wake kwa hali ya juu sana. Kwa mtazamo wangu CCM au chama chochote kama kitathubutu kupeleka mgombea jimbo kwake Lissu basi atapimwa kili kama ziko sawa au lah....mana siasa ni kwa ajili ya watu na maendeleo yao na lissu ameweza.

Kwa mtazamo wangu hana mpinzani.jembe Lissu.

Mkuu umenena vema sana. Sema watakomaa nae ili asiwe kikwazo ktk mambo yao.
 
Na sisi wanyiramba tunafurahi sana kwa mambo anayoyafanya Lissu kwa kutohamasisha maendeleo. Lissu uongoze miaka 100 ili tuwapige gape Wanyampaa
sisi...sisi wanyiramba,pumbavu mkubwa wewe,nakufuatilia sana koment zako humu,ni lini wanyiramba tumekutuma utusemee.jisemee wewe na upunguani wako,usitusemee wengine
 
Acha apiganie haki za wengi,

Kwanza jiulize, hao wabunge wengine wameleta mabadiliko gani sehemu wanazotoka kabla ya kumshambulia Lisu. Shida zote mnazopata ni kwa sababu ya serikali yenu dhaifu ya intarahamwe,

kweli maajabu hayatakwisha we mtu analalamika matatizo jimboni kwake ww unatetea acha izo ata kama mapenzi yamezidi kwa lisu basi kuwa mkweli
 
Kati ya Wanyaturu na Wanyiramba kuna vita Kali iliyojificha ni kama Wapalestine na Waisrael.......
wapuuzi kama wewe hujificha kwenye ukabila,umeshindwa kusimamia hoja zako unajifanya kutusemea wanyiramba.ni vita ipi hiyo na upumbavu unaousema humu kiasi cha kufananisha na palestina na israel.kama wewe unawachukia wanyaturu ni nini wewe na wehu wako.nimezawaliwa na kukulia hapa sijawahi kuona hata dalili za vita hiyo,
 
Mkuu TzPride Umemaliza kila kitu!

Nawakilisha kutoka Mang'onyi hapa Lissu hana mpinzani 2015 period!

Nimekipenda hicho kibwagizo "Njaghamba iuhoma ilolo" wajifya sana wo khaya!

Na sisi huku ikungi tunajuta kumchagua Lisu
 
mkuu huo ndo ukweli. naomba angalau mwaka huu tungepata kina lissu wengine kama 100 hivi angalau wananchi tujitambue...

ifike hatua tujitambue na kujua kuwa mbunge kaz yake n kuisimamia serikal ifanye maendeleo....na si kutoa hela yake mfukon ifanye maendeleo....
na kazi hio lissu kaifanya kikamilifu......sasa kama serikal haifanyi kaz yake ilo n tatizo la lissu au serikal??????
 
Tundu lissu ataongoza chadema iramba kusimamia halmashauri. Kila kitu tayari
 
Unataka kuniambia jimboni kwake hajafanya lolote la maana??
 
Unataka kuniambia jimboni kwake hajafanya lolote la maana??

Kahamasisha wananchi wafukie visima vya maji Na kuwaacha na Kiu Kali Sana lakini yeye mwenyewe huwa anakunywa maji ya Kilimanjaro
 
Tundu lissu ataongoza chadema iramba kusimamia halmashauri. Kila kitu tayari

Wewe ndio huelewi Kabisa unachokisema Lissu Ni mbunge wa Ikungi na ni wilaya inayojitegemea na Iramba Ni Wilaya inayojitegemea inaongozwa na Mwigulu
 
wapuuzi kama wewe hujificha kwenye ukabila,umeshindwa kusimamia hoja zako unajifanya kutusemea wanyiramba.ni vita ipi hiyo na upumbavu unaousema humu kiasi cha kufananisha na palestina na israel.kama wewe unawachukia wanyaturu ni nini wewe na wehu wako.nimezawaliwa na kukulia hapa sijawahi kuona hata dalili za vita hiyo,
Shida yako unatukana sana hauna HOJA nami Sipendi kujibizana na mtu asiyeelewa nisije nikapoteza swaumu Yangu bure! Tushindane Kwa hoja na siyo matusi
 
sisi...sisi wanyiramba,pumbavu mkubwa wewe,nakufuatilia sana koment zako humu,ni lini wanyiramba tumekutuma utusemee.jisemee wewe na upunguani wako,usitusemee wengine
Mods mmelala? Mnamuacha mtu anatukana nasi tutukane?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom