Kinambeu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 906
- 454
mkuu unafahamu kazi za mbunge? je kazi za serikali unazitambua? kama hakuna maendeleo huko ikungi wa kulaumiwa ni serikali inayokusanya kodi hapo singida. tatizo hilo la kutojitambua limepelekea hela yetu ya miradi ya maendeleo iliwe na wajanja wachache serikalini kama kina shabani gurumo na wenzao...
Kazi kubwa ya wabunge wa CDM ni kupiga ganzi mnyororo wa maendeleo!