nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
sisi wanaSingida mashariki tunawasubiri ccm watuletee hela na tutazila kweli kweli ila kura tunajua tutazipeleka wapi!
2010 Njau wa ccm alifilisika rasmi sasa amebaki anafuga mizinga ya nyuki kwao Mahambe!
Amefanya kitu gani extraordinary jimboni kwake?
Ktk magazeti ambayo siyapendi na sijawahi kununua wala kusoma ni hili, ni zaidi ya udaku.
Wewe kutokulisoma haimaanishi wala haiondoi hadhi yake.. . Vinginevyo Lisu atazidi kushine kisiasa hadi unune.
Hoja yangu si kumtaka mbunge Lissu atoe pesa mfukon, nachomaanisha hayupo tayari kuhamasisha wapga kura wake hata kushirikiana na wadau mbalimbali ktk kuleta maendeleo, kwa mfano ktk kijij cha mang'onyi amekua tatizo ktk kufikia muafaka na kampun ya shanta gold mine ambayo imeanzisha mradi wa visima virefu na tayari vmechimbwa, ktk kuleta dhana ya umiliki wa mradi wananchi walitakiwa wachimbe mitaro kwenda kwenye maeneo yao jambo ambalo halitak pia, je hapo serikal wanahusikaje?
Akakona Mwinowere, Basi awe chifu wa ikungi si mezoea akija anawapa nyama choma na pombe hasa ile ya K Vant nadhani unaijua vizuri na nyie ndo mnamuaminisha kua hali ya siasa jimbon iko shwari, mmebugi.
Siku za lissu kurudi kijiweni kwake zimewadia naamini 2015 hawezi kurudi kwa kura labda ateuliwe
Endelea kusubiria Ndege Bandarini.
Wadau kama kuna mtu anafuatilia utendaji wake na anataka kupambana na Huyu Nguli atakua mbumbuu na asieitakia mema nchi yetu. Lissu anatimiza wajibu wake kwa hali ya juu sana. Kwa mtazamo wangu CCM au chama chochote kama kitathubutu kupeleka mgombea jimbo kwake Lissu basi atapimwa kili kama ziko sawa au lah....mana siasa ni kwa ajili ya watu na maendeleo yao na lissu ameweza.
Kwa mtazamo wangu hana mpinzani.jembe Lissu.
Wanyiramba tunamuombea Lissu Maisha marefu awaongoze Wanyaturu kwa zaidi ya miaka 100 ili akina Kitundu, Makala, Mzengi, Shillah, Msengi, Kingu Siku Moja wawaongoze wanyaturu kwa kila sector kama ilivyo Kituo Cha Afya Sepuka Mkuu wa Kituo Myiramba, wauguzi Wote Wanyiramba, Lab technicians Ni Wanyiramba Lakini walinzi Ni wanyaturu
Wanyiramba tunamuombea Lissu Maisha marefu awaongoze Wanyaturu kwa zaidi ya miaka 100 ili akina Kitundu, Makala, Mzengi, Shillah, Msengi, Kingu Siku Moja wawaongoze wanyaturu kwa kila sector kama ilivyo Kituo Cha Afya Sepuka Mkuu wa Kituo Myiramba, wauguzi Wote Wanyiramba, Lab technicians Ni Wanyiramba Lakini walinzi Ni wanyaturu
Acha apiganie haki za wengi,
Kwanza jiulize, hao wabunge wengine wameleta mabadiliko gani sehemu wanazotoka kabla ya kumshambulia Lisu. Shida zote mnazopata ni kwa sababu ya serikali yenu dhaifu ya intarahamwe,
Jambo kubwa ambalo Lissu kafanya Ikungi ni kupiga sindano ya ganzi maendeleo, kwa hilo amefanikiwa sana kuliko Mbunge yeyote yule wanyaturu kwa upeo wao mdogo wanamsifia sana kwa hilo.
Wanyiramba niliwahi wasikia mitaa ya Urughu, Ndago, Kaselya, Shelui, Kiomboi na Kinampanda wakisema tuchangie elimu, afya ili tuwashinde wanyaturu ambao wamelala fofofo.
Wanahamasisha maendeleo kwa kasi ili kuwapiku Wanyampaa! Na baada ya miaka Kumi badaye basi wanyiramba watawapiga gape kubwa sana Wanyaturu! Wanyiramba wanashangilia sana kwa tabia ya Lissu
Wilaya ya Ikungi ndio ya Mwisho kwa kila Kitu kama vile ujenzi wa maabara zipo mbili tu tena zilizojengwa na World Bank, Zahanati vijiji vingi HAKUNA, Maji Ndio usiseme ni shida kubwa Ikungi, uchumi umedorora sana Hata kuchangia CHF wanyaturu wana 1% wakati wanyiramba WANA 86%.
elimu ya msingi na secondary Ikungu ndio inashika Mkia, wao wanachojua maendeleo yataletwa na serikali tu hata Nyumba zao zitajengwa na Serikali ndio maana kuna tofauti kubwa sana ya kipato na maendeleo kwa wilaya za Iramba na Ikungi