RockSpider
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 6,859
- 2,758
Mhe. Lissu kwa mtindo wa siasa na hamasa duni kwa sisi wapiga kura wako 2015 maeneo ya isuna, mungaa, mang'onyi, ntuntu, matongo,mahambe (nyumban kwako), mpaka iglanson na kwngneko.
Umefanya siasa kinzani na serikali bila kujali tunaoumia ni sisi wananchi wa kawaida, fanya bidii upate viongoz ktk ngaz za vitongoji, vijiji na kata ndipo utapoweza kufuatilia na kusimamia maendeleo, vnginevyo utaishia kushabikiwa na kushangiliwa na watu ambao hata jimbon kwako hawapajui.
Wewe utakuwa ni GAMBA kama walivyo magamba wengine wengi wasiojitambua! Kama wewe ni mpiga kura wa Lisu hakika ungakuta unashangilia jinsi ambavyo mmeweza kutuletea Jembe lenye manufaa na maslahi mapana kwa Watanzania wote... Lisu anafaa kuwa Waziri Mkuu na hata Rais wa watu kwa watu wa Tanzania... CCM na mabeberu mtalia sana siku Lisu ataingia Ikulu ...