zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,161
- 28,905
Ni lini Lisu ameanza kuogopa kupambana na udhalimu??? Yaani risasi ndio zimtishe lisu??? Unafkiri kila mtu mchumia tumbo kma kina januaryKwa hali hii ninayoiona adabu itakuwepo kwa mamlaka, tofauti na mwanzo, mungu amfanyie wepesi apone haraka aje tujenge taifa
Naona wewe hujui maana ya kuwa mpinzani afrika.... Jifunze kwa besigye na odinga ndio utaona anachopitia lisu kina maana gani