MHAYA AKISIFIWA BWANA, NI BALAA... Utasikia...

MHAYA AKISIFIWA BWANA, NI BALAA... Utasikia...

Mbona umemsahau, Naomba nipigie kokushubira, Niongezee salio Kagyamukama... au umewasahau ndugu zako?
 
Jana tu Mhaya mmoja katangaza Wahaya waungane wakati yeye anakaa nyumba ya baba yake Osterbay na yeye anachukua Bachelor Eng UDSM hawa watu Nshomile kwelikweli
 
najua hampendi bt u cnt denay da fact da most of wahaya r NSHOMIRE. And most of the haters TOINA MAGEZI.Hahahaha
 
najua hampendi bt u cnt denay da fact da most of wahaya r NSHOMIRE. And most of the haters TOINA MAGEZI.Hahahaha

kusoma ndiyo wamesoma, hatujakataa. nilikuwa na mpenzi wa kihaya na alikuwa msomi haswa! ila kwa ufupi nasema SIRUDII!
 
Ulikutana na nini huko?

the whole experience ilikuwa very depressing,
1. kutwa naambiwa mie elimu yangu haina maana sababu college niliyosoma ni ndogo, hapo nina bachelors degree najiona msomii
2. dada mtu anatoka bafuni bila nguo anapita mbele ya kaka huku anacheka.
3. shangazi mtu alipogonga mlango nikaambiwa nikajifiche chumbani maana shangazi alitaka jamaa aoe muhaya.

kuna mengine mengi tu,

siku ya siku nikasema mie na mwanaume wa kihaya NEVER AGAIN!
 
halafu wahaya ile tabia ya kusema kila mtu kwao masaki, oysterday, mbezi etc kuna kijana wa kihaya siku aliumbuka mamake aliposema watoto wake wamezaliwa na kukulia Buguruni, mbezi wamehamia baada ya ku-retire. nilichekajeee!
 
kusoma ndiyo wamesoma, hatujakataa. nilikuwa na mpenzi wa kihaya na alikuwa msomi haswa! ila kwa ufupi nasema SIRUDII!

ndo icho bro kilinifanya nitoke bukoba bila dem! Yani mi 200cm alaf dem 120 cm, amazing!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom