Kite Munganga
Platinum Member
- Nov 19, 2006
- 1,773
- 952
ukisoma mtanzania ya leo utashangaa sana, inamshambulian dr mwakyembe na kumuwekea maneneo mdomoni, hali wakijua kuwa hata slaa ambaye nikatibu mkuu wa chadema alishasema kuwa mwakyembe hana maslahi na wala halazimiki kutangaza maslahi ambayo hana
Gazeti la RAI lilianza hivihivi,Je Mbowe umeuza gazeti na tuhamie magazeti mengine?