Mhariri Rai Matinyi anaswa kwa Rushwa Monduli

Pamoja na maelezo yako mazuri pasco juu ya unavyomfahamu huyu jamaa lakini bado anakubali kutumika vibbaya tena kwa maslahi ya wawekezaji! Hilo ndio limenifanya nimwone hafai kabisa
Sordo, kanjanja ni mtu ambaye sio mwandishi au ni mwandishi lakini hana media yoyote anayoifanyia kazi bali kazi yake ni kuhudhuria semina, warsha na makongamano ili kuvuta zile bahasha za sitting au transport!. Na pia hufakamia misosi na vivywaji!.

Matinyi ni genuine Journalist hivyo sio kanjanja!.
 
Jamani naombeni mfahamu kuwa matinyi ajaomba rushwa hata sent moja watu watakukulu waliweka mtego kwa watu waliokuwa wamemtapeli huyu mtumishi wa TANESCO shilingi laki nne iliyokuwa imetumwa kwenye m-pesa na baada ya matinyi kupata taarifa za huyu mtu kuwa hana sifa za kuwa mtumishi tena kwenye nafasi aliyonayo na ubadhilifu mkubwa aliofanya huyu bwana kwenye uuzaji wa nguzo za umeme ndipo Matinyi alipoona kuna sababu za msingi kumfuata na kutaka kujua kwa nn anatumia nafasi yake vibaya kuhujumu shirika la tanesco.

Na ndipo Matinyi alipomfuata na kuonana naye na kwenye mazungumzo yote yalikuwa yanarecodiwa na maafisa wa takukulu baada ya hao kumpa mtumishi wa TANESCO hicho kinasa sauti wakati wanafanya mahojiano walinasa kila kitu na ndipo Matinyi alivyomaliza mazungumzo alitoka nje ya ofisi na akawa amemuacha jamaa yake ndani.

Matinyi alivyo rudi ndani ndipo alipokutana na mtiti wa maafisa wa TAKUKURU wakiwa wamembana huyo bwana Mwita kuwa amepokea rushwa na Mwita akaawambia sijachukua rushwa na walipomsachi wakakuta hana pesa na ndipo maafisa wa TAKUKURU walitoka nje na kurudi na pesa ambazo walizo mueleza kuwa hizi pesa ni zako ndipo bwana Mwita alipokataa na kuanza kupokea kipigo kikali toka kwa maafisa wa TAKUKURU wakimlazimisha kuwa hizo pesa ni zake na yeye ndiye amezipokea.

Kilichofuata ni kukamatwa na kupelekwa kwenye ofisi za TAKUKURU kwa mahojiano lakini ukweki ni kwamba Matinyi ajapokea rushwa na watu wa takukulu walikuwa na mitego yao ambayo aikufanikiwa na ndo maana hata kwenye maelezo ya awali wametangaza Matinyi wamepokea rushwa ya kiasi cha shilingi milioni moja na na laki nane na saizi kwenye taarifa wanasema matinyi na wenzake wamepelekwa mahakani wakikabiliwa na kosa la kuomba na kupokea rushwa ya kiasi cha shilingi milioni moja na laki tano sasa watu waamini lipi juu ya hizi kauli ?

Ukweli uliopo hapa Matinyi hajaomba rushwa huo ni uzushi huo ni ufupi wa story hiyo wana JF muweze pata picha ya mambo haya lakini mwapaswa kujua siyo rahisi Matinyi kwanza kuchukua rushwa ya sh laki mbili imtoe Dar mpaka Monduli siyo kweli ni mambo lazima yawe wazi na watu wajue
 
Maisha yamekuwa tyt.2lio weng roho zetu zinawaka tamaa ya rushwa tatzo ni kwamba hatupati chance.2SICHEKANE WAKUU.BT sna lengo la kusapoti rushwa
 
Hapo issue sio njaa, ni tabia ya mtu. Kuna watu ni matajiri sana lakini walarushwa wakubwa tu.
Ni yote mariki--njaa na tabia ya mtu. Fikiria mtu hajalipwa miezi minne na ana njaa na watoto wake hawajala na shuleni wamerudishwa ada. Kama siyo njaa lakini ni tabia yake angesita, lakini zaidi hii ni njaa.
 
Sordo, Jamaa alikuja Arusha kwa special assignment ya kuwalipua Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro!. Kama ni kweli anakula pesa ya Mwarabu na amemjengea nyumba, haiwezekani tena mtu huyo huyo aukate mti alioukalia!. Soma Rai la kesho uone alivyowalipua!.
Rai la kesho!? Tusome Rai ya kesho tuone alivyowalipua? Umelijuaje Gazeti la kesho ambalo halijatoka!? Au wewe ni Mhariri? Pengine kuna mengi zaidi ya haya tunayodhani kuwa tunayafahamu.
 
chomete

Mnaanza kubadilisha stori ehee... Wala rushwa makatili sana nyinyi. Hamna usafi wowote. Hata yule bwana mdai rushwa kwa pingu bado atakamatwa tena tu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom