Mhando kaamua kufa na tai shingoni?

Mambo ya zito ni yake mwenyewe, nadhani anapokuwa mwenyekiti wa kamati za bungi haiwakilishi CDM, pale ni yeye mwenyewe, nafasi ya upinzani ni pale kwenye unaibu kiongozi wa upinzani.... Nadnani wote mnakumbuka zitto alikuwa kwenye kama ya Rais ya Madini, pale CCM hawakusema wameishirikisha Chadema au upinzani kwa ujumla wake
 
Hapa kwa serikali makini, sio mhando tu, hata mwenyekiti wa bodi nae lazima aondoke, ila kwa kuwa alikuwa Mjeshi Former CDF, ndio wamuogopa!
 
Hapa kwa serikali makini, sio mhando tu, hata mwenyekiti wa bodi nae lazima aondoke, ila kwa kuwa alikuwa Mjeshi Former CDF, ndio wamuogopa!


Mtu aliyekuwa ndio kiongozi wa ufisadi wa mafuta ya kuzalishia umeme ni huyo Mboma ambae ndio Mwenyekiti wa bodi ya Tanesco; kama Mhando atachukuliwa hatua basi ni bora na bodi yote ya Tanesco ivunjwe kwani walijua kile kilichokuwa kinatendeka toka enzi za fisadi Ngeleja!! Uongozi mpya wa Tanesco umegundua uozo huo na kutaka kuusafisha ili kuwapunguzia wananchi makali ya maisha na ndio maana mafisadi wanachachamaa!!
 
MHE. KARATASI YA MSHAHARA.
KWANZA NIKUPONGEZE KWA KUWA NA UAMUZI WA KUUMIZA KICHWA CHAKO KATIKA JAMBO HILI KWANI KAMA MTANZANIA MWENYE UCHUNGU WA NCHI HII UMEFANYA KITU BORA SANA,
1. SAKATA HILI LIMEJITOKEZA SASA KWA KUWA KUNA UONGOZI BORA UNAOJUA UPO PALE KWA MASLAHI YA NANI? Mhe. MEGAWATI A.K.A NGELEJA NA JAIRO WALIKUWA HAWAYAONI MAMBO AMBAYO SASA YAMEONEKANA KWA MUDA MFUPI TU WA MASWI NA MHONGO.

2. KUHUSU TUME IMEUNDWA YA KUCHUNGUZA HATUAN YA MASWI KUFANYA MAAMUZI YANAYOELEZWA KUWA KUKIUKA KANUNI ZA MANUNUZI YA UMMA. LAKINI TUME HIYO ITAPATA AIBU NA KUJIONA KUWA YENYE MAPUNGUFU KADHAA.
3. .........................
4. KUSEMA MHANDO HAJATENDEWA HAKI ETI KWA SABABU HANA NAFASI YA KUJITETEA BUNGENI, HEE! JAIRO NAYE ALIKUWA NA NAFASI YA KUJITETEA BUNGENI? NADHANI KUNA HAJA YA KWENDA MBELE ZAIDI KUWA LICHA YA KUWASIMAMISHA TU WAFUKUZWE KAZI KWANI TANESCO LEO IMEKUWA YA MHANDO NA MKE WAKE AMBAO WANACHOTA FEDHA KAMA WAKO PEKE YAO NCHINI.
KUHUSU ZITTO TUWAACHE WABUNGE WAMWAGE MBOGA KWANZA ILI HATA HUO MCHELE WA MWAKA 2015 USIPIKIKE KWANI LEO ZITTO KAONEKANA KUWA MLA RUSHWA KWA KUMTETEA MHANDO SAWA KABISA, JE NA YULE ALIYETIMULIWA KATIKA UTUMISHI WA BWANA KWA ...................... NA SASA AMEDHIHIRISHA KUWA NA KIMADA NA KUMUACHA MKE WAKE ANAYETAMBULIWA MBINGUNI, TUSIJIDANGANYE ETI KUNA MSAFI UKANDA ULE WA ............. NA KWAMBA LEO ZITTO AONEKANE MLA RUSHWA KWA KUMTETEA MHANDO, TUMUACHE ZITTO ATOE KAULI YAKE JUU YA KUMTETEA MHANDO ILI TUMJADILI KWA KAULI HIYO.
HALAFU MBONA WANAJF MNASHINDWA KUSEMA DHAMIRA YA UKANDA NI IPI? HEBU NIWAKUMBUSHE WANAMABADILIKO WENZANGU, UKANDA WETU NDIO UNAOWEKA MGAO WA RUZUKU YA KUNDI LETU NA NDIO MAANA HATA WALE WANAOKWENDA MJENGONI KWA VITI MAALUM BASI NI KUNDI LILELILE AMBALO LIPO KWNENYE MGAO HUO.
NACHOWEZA KUPENDEKEZA HAPA NI KWAMBA WABUNGE WETU HEBU TUFANYIENI MAZURI KAMA HAYA MLIYOYAONESHA KATIKA MJADALA WA NISHATI KWA UMOJA NA KWA NIA YA KUWATETEA WANANCHI WAKE, ILA NIWAOMBE PIA BASI MUWATETEEE WALE WA LINDI NA MTWARA KUNAKOTOKA GESI ILI NAKO KUWEPO NA MAENDELEO KAMA WALINZI WA RASILIMALI ZA UMMA.
MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
Mkuu mashmbulizi yamefanyika bungeni na yeye hakuwa na nafasi ya kuongea ndani ya bunge.Naona tumpe muda ila kama atakaa kimya au kuja na utetezi wa uongo basi ajue ndio amejimaliza kisiasa.
Yeye anajibu kwenye Twitter na Fb
 
Zitto naomba ujibu tuhuma hizi kama ni za kweli...coz u're my role model! my hero!
 
mkuu hawezi kufunguka maana akifunguka ccm itakuwa ndani ya ndapo la tabata itakwisha ndani ya masaa tu
Nafikiri wengi hamkusikia vizuri hotuba ya msemaji wa kambi ya upinzani. aliomba kamati maalumu iundwe kwa ajili ya uchunfuzzi wa suala hiliu
 
Ni kweli baadhi ya tuhuma za Tanesci ni za muda mrefu lakini kumbuka wizara hii imefanyiwa mabadiliko ya uongozi ilikuwa chini ya Ngeleja ambae alikuwa akituhumiwa kwa uzembe na ufisadi kutokana na kazi ya waziri mpya imeweza kufunua madudu yaliyokuwa yanafichwa.
Zitto hakutoa msimamo wa kamati ulikuwa wake chini ya kivuli cha kamati ndio maana baadhi ya wajumbe wa kamati walishangaa kusikia kuwa kuna hoja ya kujadili kusimamishwa kwa mkurugenzi wa Tanesco
 
Acheni kukurupuka.Una uhakika na kilichomsukuma Katibu mkuu huyo?Mimi na wewe hatujui, dawa hapa ni kuunda kamati ya uchunguzi tu.Na kwaninii swala la kamati halipewi nafasi?
Kukurupuka kivipi labda wewe ndio hujui.. Siku zote misukumo huwa ni kwa kujinufaisha lakini hapa hata mjinga anaona ni kwa jinsi gani hapa katibu mkuu katuokolea fedha zetu kuliwa na wajanja, funguka mzee mafisadi hutumia wakati mwingine sheria kujinufaisha.. hushangai bei iliyopatikana kupitia tenda ni kubwa kuliko bei iliyopatikana kupitia uamuzi wa katibu mkuu? Haya sasa tukio lenyewe limepelekea kuvunjwa kamati ya bunge ya nishati.. mengi yataibuka labda yatakutoa gizani.
 
Jioni hii nimefuatilia bunge kwa makini kuanzia mwanzo mpaka miwisho.Nimegundua mambo haya:-


  1. Mhando na wenzake inaonekana na inawezekana wamefanya makosa na sijui kama watapona
  2. Zitto na baadhi ya wabunge wa ccm wanaonekana kushambuliwa na kutuhumiwa kuchukua rushwa kwasababu kuna wabunge walikuwa wakitaja majina yao kwa sauti wakati mjadala ukiendelea
  3. CCM leo ni kama wameibuka washindi hasa mbunge mmoja maarufu wa upinzani anapotuhumiwa kuhongwa na kwamba tatizo la umeme sasa chanzo sio ccm pekee bali hata wapinzani wanahusika.
  4. kuna jitihada za dhati kabisa kumsafisha katibu mkuu na kutupa lawama zote kwa TANESCO na kwamba wanasiasa hawahusiki kabisa ktk sakata hili.

Binafsi licha ya dalili zote kuonyesha bwana Mhando na wenzake huenda wamefanya makosa mimi nina maswali yafuatayo ambayo tunahitaji kujiuliza:-


  1. Mbona shutuma zote hizi zimeibuka wakati huu na ni makosa ya muda mrefu tu?
  2. Mbona karibu wabunge wote hawajatoa wazo la kuundwa tume huru kuchunguza jambo hili na badala yake wanahukumu upande mmoja tu?
  3. TANESCO Waliweza kufanya haya yote na kwa muda wote bila wizara na bodi ya wakurugenzi kujua?
  4. Ilikuwa sahihi kuwatuhumu watendaji wa TANESCO ambao hawana nafasi ya kujitete bungeni na kujiaminisha kuwa kama ni ufisadi basi TANESCO wako peke yao?
  5. Zitto na wenzake waliokuwa wanashambuliwa walitaka uchunguzi ufanyike au walikuwa na hoja gani?

Bosi wa TANESCO bila shaka anajua kila kitu ila huenda ataamua kukaa kimya. Kama kweli ana makosa ni vigumu kwa yeye kusema ukweli kwa usalama wake na washirika wake ambao huenda wamemgeuka.Hapa kuna walioshika mpini na wengine kwenye makali

Bila shaka ataamua kufa na tai shingoni.

Waziri mpya katibu mkuu mpya.
 
Ndugu zangu sina shaka kubwa juu ya Zitto
kapokea rushwa/kuongwa na TANESCO najua sababu ya kutuhumiwa zitto eti kamtetea mkurugenzi wa Tanesco. Siamini kama kweli nia yake Zitto ni kutetea fisadi wa Tanesco. ila ninadhani Zitto ana mtizamo wake tofauti na wanavyo mdhania.

1. Kukataa kwa Zitto ninajua hata mimi katika fikra zangu mimi mwenyewe kunawatu wakubwa ambao wanausika
2. Kuna vyanzo vya ufisadi katika Tanesco vimefichwa kwa masilai ya wakubwa
3. Tuangalie matukio yanayojitokeza katika sehemu mbalimbali, wanao onewa ni wengine ambao hawana lolote ndio
utolewa kafara maana kuna wausika, Mfano tukio la Dr. Olimboka, Tuangalie Magara ya jeshi mbagara na gongolamboto ile ni ishu iliyopangwa je! watanzania tujiuleze walipoingia kwenye uchunguzi je! nani alipewa tarifa kuhusu chanzo chake? inamaana na ili la Tanesco na zito kulikataa anataka wausika wote wawajibike sio hawa tu.

hivyo sioni sababu ya zitto kutuhumiwa kupokea rushwa

pili tukubali kuwa kila mtu ana mtuzamo wake. labda kinachumponza zitto ni watu kuwa na uelewa mdogo baada ya kukariri kuwa zitto ni mtu ambaye ni makini sana na maharufu katika hoja anazozitoa na huwa yeye si mtu wa kukubali haraka au kusapoti mtu. ikitokea siku moja kwamtizamo wako ukaona mtu hana kosa na ikagundulika na kosa utaonekana umeongwa /kupewa chochote, Ndugu zangu watanzania tusikubali haraka kutoa hukumu labda tupate vielelezo. maana zitto akituumu mtu anakuwa na vielelezo vya kudhibitisha, kwaiyo hikidhibitishwa tutakubali kuwa kweli kapokea.


REMEMBER THAT WHEN A MAN GOING DOWN THE HILL EVERY ONE WILL GIVE HIM A PUSH.
 
Hapa kwa serikali makini, sio mhando tu, hata mwenyekiti wa bodi nae lazima aondoke, ila kwa kuwa alikuwa Mjeshi Former CDF, ndio wamuogopa!
Prof wa ukweli Muhongo amekubali ombi la Mbatia la kuivunja bodi ya Tanesco ila amesema atatangaza nafasi za members wa bodi kwenye magazeti ili competent applicants waombe. Tumpe nafasi Prof Muhongo kama magamba hawatamharibu tunaweza kuona japo mafanikio kidogo. We should nt forget that he is just a human and not an angel.
 
QUOTE=Bitabo;4332040]Prof wa ukweli Muhongo amekubali ombi la Mbatia la kuivunja bodi ya Tanesco ila amesema atatangaza nafasi za members wa bodi kwenye magazeti ili competent applicants waombe. Tumpe nafasi Prof Muhongo kama magamba hawatamharibu tunaweza kuona japo mafanikio kidogo. We should nt forget that he is just a human and not an angel.[/QUOTE]

Uchunguzi unafanyika, baada ya hapo majibu yataletwa na wote tutayasikia. Public procurements zote zinafanywa kwa kufuata sheria za manunuzi and not otherwise.
Zitto yupo kwenye kamati ya ukaguzi wa hesabu za serikali na makampuni yaliyo chini ya serikali, that means kama kungekuwa na kitu chochote cha ziada wangeshakigundua tangu siku zote. Na anayafahamu makampuni yote in and out, he can not simply stand and support kuwa Mhando kaenda kinyume wakati ambapo yeye hilo hakuliona. Sasa kama mnamhukumu kahongwa just because anasimama katika kile anachoamini kuwa ni sahihi tunakosea sana. Tukumbuke kuwa kwenye party caucus juzi wabunge wa ccm chini ya kilio cha pinda walikubaliana wamuokoe maswi ili kurescue chama cha mapinduzi. What is done here is politics, tusipende kuwa overtaken by emotions pasipo kutafakari mambo kwa kina.
Mhando ametolewa kafara,na ndio maana speaker alisema issue ya mhando isijadiliwe bungeni,maana walikuwa hawajajipanga watokeje! Wameenda wamejipanga wamekuja wanapiga makofi paa paa paa. Katika hali kama hiyo lazima Zitto waseme amehongwa maana huwa hasukumwi na pressures za watu.Anasimamia haki na ukweli,ana reason before kufanya chochote!
 
Uadilifu ndo ulimsukuma katibu mkuu. Na akatumia discreation yake kulinusuru taifa

Hekoooooo! Katibu Mkuu

Jamani huu ni mchezo wa kuigiza hii movie imetengenezwa!! iundwe tume huru kuchunguza hili ukweli utajulikana:A S-baby:
 
Haya ndio mambo yanayohitajika Bungen,i just go live na hope hapa kumechochewa kuni subirini moto uwake wabunge wakianza kujiexpose safi sana, kiukweli nchi ina kacha ya rushwa
 
Back
Top Bottom