Mhandisi: Tsh. milioni 11 hazitoshi kujenga kibanda cha mlinzi wa ofisi za Serikali, labda kibanda cha mapokezi

Kama ni kibanda plus amari ya silaha hio 11 haitoshi.
Haitosh kama na amari.ina maana lazma tuchimbe chin zaid
Tuweke underground ambayo ndio hio armoury halafu ujenz wa serkal tofal hazisimamishw ukae ujue hilo,ni za kulaza kwa hio sehem ambayo ingekula koz koz 8 na kufunga linta 12 kwa tofal za kulaza tena hatutumii inch 5 mabua tunatumia inch 6.kwa hio ukilaza lazima tofal ziende nying.na tofal za government grade ni chiping sio haya mabua ya cement tupu.kama alizingatia vigezo vyote ingesogea sogea
 
Mhandishi anazungumzia strength na quality ya material, ana uhakika hicho kibanda kinazo sifa hizo......
Tofal inch 6 chiping.nondo mm 12 bcm bat gej 26 yan hapa nimekupa kitu kigumu military grades
 
😂😂😂 Mhandisi ni mawazo yake ila ajiulize swali dogo specification na BOQ ya hicho kibanda kinaendana na thamani hiyo ya 11m.. Hakika kibanda ni kidogo sanaaa. Gharama ni kubwa
Wanasiasa wanatupelekesha sana, Kama ujenzi ulifata taratibu za tenda tulizozizoea Wakandarasi wana tabia wakiomba tenda wanaquote juu, huenda huyo wa 11 ndo alikuwa wa chini.
 
Nimejenga nyumba ya vyumba viwili kimoja masta, vyoo vya public pia vipo ndani, jiko sebule ,dining, kibaraza kidogo including kupaua na msouth juu imekula 29m
 
Ni kauli ya Mhandisi majengo kutoka Chuo cha Ardhi. Anasema kibanda cha walinzi kina kanuni zake za ujenzi kwa sababu ni ofisi ya walinzi wenye silaha.

Amesisitiza Tsh. 11 milioni ni ndogo kujenga ofisi ya walinzi yenye viwango vya kikanuni na kiusalama!

Jumaa kareem!
Angeweka BoQ kusapoti anachokisema.
 
Cement kuna

Plus na kuna extra mzee

Na bei zake zinatofautiana

Ova
Sio kila kampuni ina hayo matooeovya twiga mkuu bali kuna grade/class bila kujali kampuni nayo ni:
Class 32.5 na 42.5
Katika hizi ya class ya juu ni 42.5 na bei siku zote iko juu.
IMG-20220909-WA0000.jpg
 
Ni kauli ya Mhandisi majengo kutoka Chuo cha Ardhi. Anasema kibanda cha walinzi kina kanuni zake za ujenzi kwa sababu ni ofisi ya walinzi wenye silaha.

Amesisitiza Tsh. 11 milioni ni ndogo kujenga ofisi ya walinzi yenye viwango vya kikanuni na kiusalama!

Jumaa kareem!
Mhandisi anaitwa nani? Ni vizuri akaonesha mfano wa BOQ za majengo ya walinzi ama binafsi au ya serikali aliyowahi kusimamia, na siyo kufurahisha kijiwe.
 
Mkuuu najua umesha jenga au kma bado hujajenga utajua 11 mil ni pesa mingi au ndog kwa kijibanda
Tatizo lenu mnachanganya gharama za ujenzi wa nyumba tunazoishi, na mahitaji ya gharama za ujenzi wa nyumba za kazi maalum, hizi haziangalii ukubwa wa nyumba, zaidi zinatazama mahitaji ya vifaa husika kwenye ujenzi ambavyo vinaweza kuwa na gharama kubwa zaidi.

Mfano, utakuta aina ya dirisha linalotakiwa kuwepo kwenye chumba cha mlinzi na gharama zake, sio sawa na dirisha unalolitumia nyumbani kwako.

Sijui mnatoa wapi ujuaji wa kushindana na mtaalamu, msichanganye shule na mazoea.
 
Kwahiyo mhandisi huyu anatuambia kwamba Kasimu Majaliwa amekurupuka? Uwaziri mkuu ni taasisi. Kama ofisi ya waziri mkuu yenye mkusanyiko wa wizara na idara bila kusahau wataalamu washauri inaweza kuwa haijui suala hili basi nchi hii Ina shida kubwa Sana.

Ninaamini mhandisi huyu amekurupuka ama anatafuta umaarufu ubwete (cheap popularity).
Kuachia mbali u sexless wako wewe pia ni brainless
 
Tatizo lenu mnachanganya gharama za ujenzi wa nyumba tunazoishi, na mahitaji ya gharama za ujenzi wa nyumba za kazi maalum, hizi haziangalii ukubwa wa nyumba, zaidi zinatazama mahitaji ya vifaa husika kwenye ambavyo vinaweza kuwa na gharama kubwa zaidi.

Sijui mnatoa wapi ujuaji wa kumbishia mtaalamu.
Aha kwa hio gharama ni pamoja na himars,
 
Maswali matatu.....
1. BOQ inasema 11m?
2. BOQ imepasishwa na mamlaka husika?
3. Kibanda kimejengwa to specifications?
 
Anaweza kuwa amejenga kwa simu na hela za rushwa. Akiambiwa mfuko wa cement 125,000/- anatoa tu.
Mentality zenu ndio husababisha maghorofa mjini kuanguka halafu mnawalaumu wahandisi kwa ujinga wenu, wakati sababu ni nyie kutaka material ya bei rahisi tofauti na mhandisi anavyowaambia.

Mtaalamu hapo ametoa sababu za kiusalama na kikanuni, zinazosababisha gharama iwe kubwa zaidi ya hiyo mil 11.

Ajabu nyie mnapinga wakati hamjui hata vifaa vinavyotakiwa kuwepo kwenye nyumba ya mlinzi, mnadhani vile vyoo vyetu vya nje uswahilini, na vyumba vya kupikia ndio bei sawa na chumba cha mlinzi standard.
 
Mentallity zenu ndio husababisha maghorofa mjini kuanguka halafu mnawalaumu wahandisi kwa ujinga wenu wakati sababu ni nyie kutaka material ya bei rahisi tofauti na mhandisi anavyowaambia.

Mtaalamu hapo ametoa sababu za kiusalama na kikanuni, zinazosababisha gharama iwe kubwa zaidi ya hiyo mil 11.

Ajabu nyie mnapinga wakati hamjui hata vifaa vinavyotakiwa kuwepo kwenye nyumba ya mlinzi, mnadhani vile vyoo vyetu vya nje uswahilini, na vyumba vya kupikia ndio bei sasa na chumba cha mlinzi standard.
Unajitoa ufahamu.
 
Hapa ni professionalism vs siasa.

Napendezwa sana na huu ujasiri wa mtu kutoa maoni yake kwa uhuru kulingana na kile anachokiamini hasa kwa kuzingatia taaluma yake, tusiwe taifa la kupongeza kila kinachofanywa na kiongozi bila kujiuliza.

Sasa ni zamu ya PM nae aje kutuambia yeye alitumia vigezo gani kusema ile milioni 11 ilikuwa kubwa sana, ila kama angeambiwa kile kibanda kimegharimu milioni 5 angekubali.
Je kwa sababu ni kibanda cha walinzi,ina maana kinatumia Cement tofauti na vibanda vingine au kuna Bullet Proof material ambayo inachanganywa huko?

Hawa mainjinia wa kibongo nao wote miyeyusho tupu!
 
Hai hitajiki ukokotozi wala unini,tusihalalishe jinai hapa

Mil 11 sio laki 1 wajomba,kijumba chenyewe tumekiona wote

hata kama ni kwa picha ila wote tumeiona,ile ni ya kutumia 11m?

Tusijifanye wajenzi huru sana,ukandarasi my foot ieleweke kwamba

hela hizo zimefujwa hamna cha siasa wala nini,tusifanyane watoto hebu.
 
Back
Top Bottom