GE2025 Mhagama: Nitashangaa mkienda kuwapigia kura wapinzani

GE2025 Mhagama: Nitashangaa mkienda kuwapigia kura wapinzani

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Wakuu,

Huyu anazungumzia wapinzani gani? Kwa maana mimi kwenye uchaguzi huu sioni upinzani wowote

Mgombea nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Peramiho kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jenista Mhagama amesema atawashangaa wananchi wa jimbo la Peramiho wakatao wapigia kura vyama vya upinzani huku akisema kuwa CCM ndio chama pekee chenye kujua changamoto za wananchi na tayari imeshaonyesha dira ya kuleta maendeleo kwa wananchi wa Songea Vijijini.

Jenista Mhagama amesema hayo jana Septemba 27 2025 akiwa anafanya kampeni za Kijiji kwa Kijiji kunadi sera za Chama Cha Mapinduzi kupitia Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2025 -2030 katika Kijiji cha Mborongo Kata ya Liganga, Songea Vijijini.

“Tunapokuja kuomba kura tunamaanisha, sisi CCM ndio ndugu zenu wa damu, Mborongo nitawashangaa, eti mtajenga Imani ya chama cha upinzani, walikuwa na nafasi ya kuwaonyesha wao ni ndugu zenu wakati wa tabu, wanapokuja leo wakati wa raha, maji tumefanyia ’survey’, shule tumeshajenga, nyumba tunamalizia, zahanati na umeme tumeshaleta, haya yote tumeshayafanya leo hii mkiwaamini nitawashangaa.

Jenista Mhagama amesema anatambua kero ya barabara iliyopo Mborongo na kusema kuwa endapo CCM itashinda, itaisimamia Serikali katika kukarabati barabara hiyo kwa gharama za Shilingi Milioni 120.

Pia Soma: GE2025 - Jenista Mhagama: Ruvuma hatuna mba mba mba, tutampa Samia Kura kwa Kishindo
 
Wapinzani wapi? Mganga wa uyu mama anajitahidi sana japo hawezi mshinda Mungu wa Mbinguni
Wakuu,

Huyu anazungumzia wapinzani gani? Kwa maana mimi kwenye uchaguzi huu sioni upinzani wowote

Mgombea nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Peramiho kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jenista Mhagama amesema atawashangaa wananchi wa jimbo la Peramiho wakatao wapigia kura vyama vya upinzani huku akisema kuwa CCM ndio chama pekee chenye kujua changamoto za wananchi na tayari imeshaonyesha dira ya kuleta maendeleo kwa wananchi wa Songea Vijijini.

Jenista Mhagama amesema hayo jana Septemba 27 2025 akiwa anafanya kampeni za Kijiji kwa Kijiji kunadi sera za Chama Cha Mapinduzi kupitia Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2025 -2030 katika Kijiji cha Mborongo Kata ya Liganga, Songea Vijijini.

“Tunapokuja kuomba kura tunamaanisha, sisi CCM ndio ndugu zenu wa damu, Mborongo nitawashangaa, eti mtajenga Imani ya chama cha upinzani, walikuwa na nafasi ya kuwaonyesha wao ni ndugu zenu wakati wa tabu, wanapokuja leo wakati wa raha, maji tumefanyia ’survey’, shule tumeshajenga, nyumba tunamalizia, zahanati na umeme tumeshaleta, haya yote tumeshayafanya leo hii mkiwaamini nitawashangaa.

Jenista Mhagama amesema anatambua kero ya barabara iliyopo Mborongo na kusema kuwa endapo CCM itashinda, itaisimamia Serikali katika kukarabati barabara hiyo kwa gharama za Shilingi Milioni 120.

Pia Soma: GE2025 - Jenista Mhagama: Ruvuma hatuna mba mba mba, tutampa Samia Kura kwa Kishindo
[/QUOT
 
Wakuu,

Huyu anazungumzia wapinzani gani? Kwa maana mimi kwenye uchaguzi huu sioni upinzani wowote

Mgombea nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Peramiho kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jenista Mhagama amesema atawashangaa wananchi wa jimbo la Peramiho wakatao wapigia kura vyama vya upinzani huku akisema kuwa CCM ndio chama pekee chenye kujua changamoto za wananchi na tayari imeshaonyesha dira ya kuleta maendeleo kwa wananchi wa Songea Vijijini.

Jenista Mhagama amesema hayo jana Septemba 27 2025 akiwa anafanya kampeni za Kijiji kwa Kijiji kunadi sera za Chama Cha Mapinduzi kupitia Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2025 -2030 katika Kijiji cha Mborongo Kata ya Liganga, Songea Vijijini.

“Tunapokuja kuomba kura tunamaanisha, sisi CCM ndio ndugu zenu wa damu, Mborongo nitawashangaa, eti mtajenga Imani ya chama cha upinzani, walikuwa na nafasi ya kuwaonyesha wao ni ndugu zenu wakati wa tabu, wanapokuja leo wakati wa raha, maji tumefanyia ’survey’, shule tumeshajenga, nyumba tunamalizia, zahanati na umeme tumeshaleta, haya yote tumeshayafanya leo hii mkiwaamini nitawashangaa.

Jenista Mhagama amesema anatambua kero ya barabara iliyopo Mborongo na kusema kuwa endapo CCM itashinda, itaisimamia Serikali katika kukarabati barabara hiyo kwa gharama za Shilingi Milioni 120.

Pia Soma: GE2025 - Jenista Mhagama: Ruvuma hatuna mba mba mba, tutampa Samia Kura kwa Kishindo
Pia nitashangaa sana unaenda kufanya nini!​
 
Wanamtandao wamenunua misikiti feki, wanamtandao wamenunua wapinzani feki.
 
Hao wangese cjui wana matatizo gani ya akili, sasa hapo anazungumzia wapinzani gani wakati hawa wote n CCM B
 
Huyu naye CV yake ina elimu ya hapa na pale kama boss wake.
 
Wakuu,

Huyu anazungumzia wapinzani gani? Kwa maana mimi kwenye uchaguzi huu sioni upinzani wowote

Mgombea nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Peramiho kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jenista Mhagama amesema atawashangaa wananchi wa jimbo la Peramiho wakatao wapigia kura vyama vya upinzani huku akisema kuwa CCM ndio chama pekee chenye kujua changamoto za wananchi na tayari imeshaonyesha dira ya kuleta maendeleo kwa wananchi wa Songea Vijijini.

Jenista Mhagama amesema hayo jana Septemba 27 2025 akiwa anafanya kampeni za Kijiji kwa Kijiji kunadi sera za Chama Cha Mapinduzi kupitia Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2025 -2030 katika Kijiji cha Mborongo Kata ya Liganga, Songea Vijijini.

“Tunapokuja kuomba kura tunamaanisha, sisi CCM ndio ndugu zenu wa damu, Mborongo nitawashangaa, eti mtajenga Imani ya chama cha upinzani, walikuwa na nafasi ya kuwaonyesha wao ni ndugu zenu wakati wa tabu, wanapokuja leo wakati wa raha, maji tumefanyia ’survey’, shule tumeshajenga, nyumba tunamalizia, zahanati na umeme tumeshaleta, haya yote tumeshayafanya leo hii mkiwaamini nitawashangaa.

Jenista Mhagama amesema anatambua kero ya barabara iliyopo Mborongo na kusema kuwa endapo CCM itashinda, itaisimamia Serikali katika kukarabati barabara hiyo kwa gharama za Shilingi Milioni 120.

Pia Soma: GE2025 - Jenista Mhagama: Ruvuma hatuna mba mba mba, tutampa Samia Kura kwa Kishindo
Watu wabaya dunia hii,
wamemnanilii huyu mama wa watu

RIP JJM

P
 
Back
Top Bottom