Mhadhiri wa UDSM Bashiru Ally na BBC

Mhadhiri wa UDSM Bashiru Ally na BBC

Hute

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,537
Reaction score
6,479
Namwangalia Bashiru ally mhadhiri wa UDSM akihojiwa na Kassim Kaira wa BBC kutoa maoni yake kuhusu Marekani kuingilia kijeshi kuwapiga wanamgambo wa kiislam ISIS wa Iraq wanaowasilimisha wakristo na kuwalipisha kodo pamoja na kuwafukuzia jangwani kusikokuwa na maji.

yeye Bashiru amepinga hatua hiyo ya Marekani kuingilia kati akitoa sababu kuwa Marekani mbona haijaingilia maeneo mengine kwanini iwe tu Iraq.

Anaonekana wazi kabisa anasapoti wanamgambo wa kiislam kwa kile wanachokifanya Iraq kwa wakristo kuwalipisha kodi na kuwaua na kuwafukuzia jangwani.

Hivi kumbe hata kama ukisoma hadi uwe na PHD kama ulizaliwa na udini moyoni fikra zako haziwezi kubadilika?

Unajua hata hapa TZ kuna watu wanawasapoti kile kinachofanywa na wapiganaji wa kiislam Iraq?

Ajabu aisee.
 
. hivi kumbe hata kama ukisoma hadi uwe na phd kama ulizaliwa na udini moyoni fikra zako haziwezi kubadilika?.

Hakuna aliyezaliwa na UDINI MOYONI.

Madrasa ndo workshops zinazo wabrainwash Kisha kuwajaza chuki na inferiority complex.
 
anaamini sio sahihi marekani kupiga isis wanaotaka kusafisha wakristo, wamewaua, wanapora mali zao na kuwafukuzia wakafie jangwani. nimeshangaa, sijui alikuwa anamaanisha nini. kama yupo humu bila shaka atatoa maelezo. hata yule mtangazaji wa bbc kassim kaira pamoja na kwamba ana nundu kwenye kipaji ya kuswali, alionekana wazi kutoridhika na majibu yake kwasababu sicho alichokuwa anategemea kusikia toka kwake, bila shaka alikuwa anategemea bashiru angelaumu walau ku condemn what is happening there, jamaa wala hakujua mtego huo akaingia laini akifikiri anajadili siasa za kibongo na kuimba yale mashairi yake.
 
namwangalia bashiru alli sasaivi mhadhiri wa udsm akihojiwa na kassim kaira wa bbc kutoa maoni yake kuhusu marekani kuingilia kijeshi kuwapiga wanamgambo wa kiislam ISIS wa iraq wanaowasilimisha wakristo na kuwalipisha kodo pamoja na kuwafukuzia jangwani kusikokuwa na maji. yeye bashiru amepiga hatua hiyo ya marekani kuingilia kati akitoa sababu kuwa marekani mbona haijaingilia maeneo mengine kwanini iwe tu iraq...anaonekana wazi kabisa anasapoti wanamgambo wa kiislam kwa kile wanachokifanya iraq kwa wakristo kuwalipisha kodi na kuwaua na kuwafukuzia jangwani. hivi kumbe hata kama ukisoma hadi uwe na phd kama ulizaliwa na udini moyoni fikra zako haziwezi kubadilika? unajua hata hapa tz kuna watu wanawasapoti kile kinachofanywa na wapiganaji wa kiislam iraq? ajabu aisee.

Bashiru yuko sahihi kwani hao washenz wa marekani wameona mauaji yanayofanyika palestina ni sahihi ndo maana wapo kimya!
 
Ka bore sana utafikiri sio msomi!!!!
namwangalia bashiru alli sasaivi mhadhiri wa udsm akihojiwa na kassim kaira wa bbc kutoa maoni yake kuhusu marekani kuingilia kijeshi kuwapiga wanamgambo wa kiislam ISIS wa iraq wanaowasilimisha wakristo na kuwalipisha kodo pamoja na kuwafukuzia jangwani kusikokuwa na maji. yeye bashiru amepiga hatua hiyo ya marekani kuingilia kati akitoa sababu kuwa marekani mbona haijaingilia maeneo mengine kwanini iwe tu iraq...anaonekana wazi kabisa anasapoti wanamgambo wa kiislam kwa kile wanachokifanya iraq kwa wakristo kuwalipisha kodi na kuwaua na kuwafukuzia jangwani. hivi kumbe hata kama ukisoma hadi uwe na phd kama ulizaliwa na udini moyoni fikra zako haziwezi kubadilika? unajua hata hapa tz kuna watu wanawasapoti kile kinachofanywa na wapiganaji wa kiislam iraq? ajabu aisee.
 
Sijawahi kufurahishwa na michango ya huyu jamaa.Tanzania tuna tatizo kubwa katika nyanja ya uchambuzi.Mihemko ndo inatuongoza kuliko kuzingatia uhalisia.
 
Palestina na Iraq wapi na wapi? Ukilaumu suala la Palestina ni sawa lakini si haki kucompare!!! Kule middle east mbona both sides zina makosa? Yale mahandaki hukuyaona? Na hizo rockets je? Israel also is to blame. Numerous children and innocent civilians have been butchered. Lakini Hamas ndio wanaanza na Israel wanaretaliate vibaya. Both side are to blame in middle east!!! Sasa Iraq ni hao magaidi tu wanatesa minorities. Sasa wameteka wasichana kibao wa kabila la Yazidi! Ni haki hii? Hawafai kabisa na huyo mhadhiri hakujibu maswali kalalamika tu. I think he was not objective.
Bashiru yuko sahihi kwani hao washenz wa marekani wameona mauaji yanayofanyika palestina ni sahihi ndo maana wapo kimya!
 
namwangalia bashiru alli sasaivi mhadhiri wa udsm akihojiwa na kassim kaira wa bbc kutoa maoni yake kuhusu marekani kuingilia kijeshi kuwapiga wanamgambo wa kiislam ISIS wa iraq wanaowasilimisha wakristo na kuwalipisha kodo pamoja na kuwafukuzia jangwani kusikokuwa na maji. yeye bashiru amepiga hatua hiyo ya marekani kuingilia kati akitoa sababu kuwa marekani mbona haijaingilia maeneo mengine kwanini iwe tu iraq...anaonekana wazi kabisa anasapoti wanamgambo wa kiislam kwa kile wanachokifanya iraq kwa wakristo kuwalipisha kodi na kuwaua na kuwafukuzia jangwani. hivi kumbe hata kama ukisoma hadi uwe na phd kama ulizaliwa na udini moyoni fikra zako haziwezi kubadilika? unajua hata hapa tz kuna watu wanawasapoti kile kinachofanywa na wapiganaji wa kiislam iraq? ajabu aisee.

Mkuu Hute hata mimi nilimsikiliza nikashangaa sana,et kwanini U.S.A haikuingilia Gaza ilivyokuwa inapigwa mabom na Israel anawaingilia IS kwa kuwaua Wakristo,point ya America ni kuyalinda makundi madogo madogo ikiwapo hao Wakristo,amefunga macho kuona kwamba Gaza ilikuwa ni piga nikupige wakati Iraq ni watu wanafanya mauaji dhidi ya jamii dhaifu isiyoweza kujilinda,sitaki kuamini kwamba ni imani yake iliyomfanya atamke hayo ila kama ni wachambuzi bbc wamtoe kwenye list yao hana anachochambua.
 
Last edited by a moderator:
Palestina na Iraq wapi na wapi? Ukilaumu suala la Palestina ni sawa lakini si haki kucompare!!! Kule middle east mbona both sides zina makosa? Yale mahandaki hukuyaona? Na hizo rockets je? Israel also is to blame. Numerous children and innocent civilians have been butchered. Lakini Hamas ndio wanaanza na Israel wanaretaliate vibaya. Both side are to blame in middle east!!! Sasa Iraq ni hao magaidi tu wanatesa minorities. Sasa wameteka wasichana kibao wa kabila la Yazidi! Ni haki hii? Hawafai kabisa na huyo mhadhiri hakujibu maswali kalalamika tu. I think he was not objective.

Bashiru alikuwa anapinga tabia ya marekani kuwa na double standards na si lazima uwe na degree utambue hilo
 
Yeye Kapinga kwa domolake tu, lakini hao magaidi wanakula kichapo cha kufa mtu kutoka kwa mbabe wa dunia hii. Hata kesho na kesho kutwa apinge tena kwa domolake hilo, ruksa. Ha! ha! ha! haaaaaaaaaaaaaaaa!!!
 
Mkuu Hute hata mimi nilimsikiliza nikashangaa sana,et kwanini U.S.A haikuingilia Gaza ilivyokuwa inapigwa mabom na Israel anawaingilia IS kwa kuwaua Wakristo,point ya America ni kuyalinda makundi madogo madogo ikiwapo hao Wakristo,amefunga macho kuona kwamba Gaza ilikuwa ni piga nikupige wakati Iraq ni watu wanafanya mauaji dhidi ya jamii dhaifu isiyoweza kujilinda,sitaki kuamini kwamba ni imani yake iliyomfanya atamke hayo ila kama ni wachambuzi bbc wamtoe kwenye list yao hana anachochambua.

Sir mimi;
Sipendi saana kukomenti hoja ka hizi lakini ninapoona mnawapaka mafuta hawa jamaa kwa mgongo wa chupa nachukizwa. Huyo jamaa Bashiru alionesha jinsi ambavyo Uhadhiri wake alivyoupewa tu kwa Udini wake. Hawa ni wale ambao wanaambiwa "Mpeni huyo ni mwenzetu".
Haiwezekani, msomi aweze kulinganisha Gaza na Iraq. Hawa ndo wanaoona kuwa ni haki Israel wauawe hata kwa kutumia watoto wa Kipalestina ka ngao dhidi ya marocket ya Israel. Wao wanatumia mashule, mahospital na residential houses kurushia marocket yao, Israel wakiwajibu wanakuwa wa kwanza kulalama.
Huko Iraq, hao watoto wa kikristo, mama zao na babazao wanapokatwa vichwa (Watoto) wanapobakwa (Wamama) na kunyongwa (Wababa) wanakosa gani kama si kutokumsujudia huyo allah! Kweli, msomi anayejitanabahisha na mauaji, ni hatari kuliko ukoma. Mwepukeni.
Amefungwa macho wala haoni kisa mahaba na dini yake. Hata dini hiyo yake tuiogope.
 
Muache mwl wangu.anachosema kina mantiki sio kwamba anaunga mkono ugaidi.kwanini Marekani awakusaidia Naigeria Bhoko haram inapo fanya mauaji.Maana najua awana uwezo wa kuizuia Israel. Kwanini Usa Wanachagua mbona awakwenda central Africa?

Marekani imesaidia Nigeria kwa kutoa Drones na intelligence information ila zaidi kwa Nigeria British ndo amekuwa involved sana, kwa Central Africa Republic sio kwamba anashindwa kwenda ila hii nchi ni sehemu ya Francophonia (France influenced country) ikimaanisha Ufaransa ndo ina interest zaidi katika Central Africa so France is responsible and not him (USA) ndo maana hata akwenda Mali wakti inayumbishwa na wale waasi wa kaskazini ila mFransa ndo alienda huko na yuko Central Africa.

Turudi kwenye Iraq, jamaa anaenda huko sababu kuu naweza kusema mbili:

1. Aliwahi kutoa majeshi mapema Iraq au kwa lugha nyingine aliyatoa majeshi kisiasa na utakubaliana na mm kuwa wakati wa kampeni za uchaguzi wa Marekani, Barack Obama (Democrat) kati ya ahadi zake nyingi aliahidi kutoa majeshi ya Marekani huko Iraq na Afghanistan akiingia madarakani na ukiangalia batch ya mwisho aliiondoka nadhani at the end of 2013. Lakini bila kuwa na uhakika au maandalizi ya kutosha ya kukabidhi nchi kwa wazawa Marekani ilitoa majeshi yake yote Iraq huku Jeshi la wazalendo likiwa halijaandaliwa vya kutosha kukabiliana na hali halisi ya chokochoko kubwa ikiwa ni pamoja na kuzuka na mgawanyo wa makundi ndani ya nchi. Hatua hii ya kutoa majeshi bila ya kuandaa taasisi imara za usalama ilipingwa vikali na Umoja wa Mataifa na nchi kama Urusi na Uchina sababu eneo hilo sio tulivu na ni kama wanaacha power vacuum ambayo itasababisha fujo na power struggle na kumbuka Iraq ni nchi iliyo meguka kwa misingi ya "imani ndani ya imani moja" na imani tofauti (Shia, Sunni, Kurdi na kiwango kidogo Wakristo). so anachofanya saizi ni kucorrect error yake na nakwambia kama akiingia saizi anaweza asitoke au achelewe kutoka na kukaa kwa muda kidogo ili kuimarisha serikali ya Iraq.
2. Pia tunaweza kuona uwepo wa kuhatarishwa kwa interest zake za kiuchumi na kiusalama hasa kwa makampuni yake yanayo chimba mafuta katika Ghuba (nchi kama Kuwait, Qatar, Jordan na Bahrain) na supply chain yake ya mafuta ikiwa waasi hawa watapata nguvu zaidi na kusogea kusini zaidi na tayari nchi kama Saudia zimeanza kuona Marekani sio tena rafiki wa karibu kwani kwanza waliomba adeal na Iran aka back out kwa kisingizio cha kutumia Diplomacy na wakamwambia aishuhurikie Syria akaishia kutoa vitisho tu! So jamaa anataka kuhakikisha kwao (Allies) kwamba he is still capable of handling the middle east without hesitation and doubts kwao.

Na kwa upande wa Israel na Palestina ni kwamba hawa majamaa (Israel) kitendo wanachofanya ni cha kinyama ambacho pia marekani inahofia kukikemea ikiogopa diplomatic melt down na Tel Aviv sababu ujuwe kuwa Marekani hasa kuanzia muuongo uliopita inatumia zaidi majasusi wa Israel (Mossad) katika pande nyingi za dunia ambazo hawana watu wao kwani it is said Israel has a well organised spy network perhaps more than the US with more military technique requiring little cost but very efficient kwa hapa hasa saizi ambapo Amerika inadeal sana na Iran haitaki kuharibu hii relation alafu kumbuka kuwa kuna Iranian best nuclear scientist walilipuliwa Tehran wakalaumiwa wayahudi so they know that its inhuman for Israel to do so (Bomb Palestine) but they lack enough leverage to call Israel out of it...na hata mm nasema ni against humanity na brutality against very nature of human beings.
 
Sir mimi;
Sipendi saana kukomenti hoja ka hizi lakini ninapoona mnawapaka mafuta hawa jamaa kwa mgongo wa chupa nachukizwa. Huyo jamaa Bashiru alionesha jinsi ambavyo Uhadhiri wake alivyoupewa tu kwa Udini wake. Hawa ni wale ambao wanaambiwa "Mpeni huyo ni mwenzetu".
Haiwezekani, msomi aweze kulinganisha Gaza na Iraq. Hawa ndo wanaoona kuwa ni haki Israel wauawe hata kwa kutumia watoto wa Kipalestina ka ngao dhidi ya marocket ya Israel. Wao wanatumia mashule, mahospital na residential houses kurushia marocket yao, Israel wakiwajibu wanakuwa wa kwanza kulalama.
Huko Iraq, hao watoto wa kikristo, mama zao na babazao wanapokatwa vichwa (Watoto) wanapobakwa (Wamama) na kunyongwa (Wababa) wanakosa gani kama si kutokumsujudia huyo allah! Kweli, msomi anayejitanabahisha na mauaji, ni hatari kuliko ukoma. Mwepukeni.
Amefungwa macho wala haoni kisa mahaba na dini yake. Hata dini hiyo yake tuiogope.
Amini usiamini, makanisa yameua nchi hii kwa kutuletea Division one za kanisa ambazo zimewafanya weneyenazo kutotumia akili kabisaaaa! Sasa kama ww unamtetea Israel na mwenzako anawatetea hao "waislam" wa iraq, then tofauti zenu nyie nini?
 
Huyu jamaa msomi lakini ni bonge la mbulura, kwa hiyo anaona ni sawa watu kulazimishwa dini wakikataa wauwawe?
 
Huyu jamaa msomi lakini ni bonge la mbulura, kwa hiyo anaona ni sawa watu kulazimishwa dini wakikataa wauwawe?

Ungeanza kuhoji umburura wa wasomi wa makanisa wanaomuunga mkono israel kwa mauaji anayoyafanya palestina ndo ningekuona wa maana! alichokusema Bashir ndo ukweli wa mambo na Kasim wa bbc alifanya hivyo makusud ili kuweka waz ukweli dunian wanadamu wote ni sawa hakuna alie na thaman kuliko mwenzie!
 
Back
Top Bottom