Mh. Zitto na Martin Luther King

Status
Not open for further replies.
Acha kumdhalilisha Martin luther king... Nenda katafakari kwanza ndiyo uje hapa jf
. MARTIN LUTHER KING UNAMJUA AMA UMEHADITHIWA? Kajipange...

angekua ni mgonga VIROBA ungeweka like kwa kuwa ni kambi yako ya waropokaji
 
yeye ni naibu katibu mkuu kuna fungu, yeye ni naibu kiongoz kambi ya upinzan, yy ni mwenyekiti PAC, YY NI MBUNGE WEWE JE???????? ACHA WIVU DOGO
 
yani inahitaji kwenda shule ili ujue mh zito anabaguliwA KASOME RIPOTI YA SIRI UTAONA DK SLAA KAGONGA LIKE ALAFU ANSEMA ZITO NI KIONGOZI WETU HY NI CONSPIRACY THEORY

Una uhakika huo? ndio Maana Nape Nnauye anataka chadema kifutwe sababu ya kutofanya uchaguzi?
 
Waambie CDM wanaobaguana kwa itikadi, ukabila, ukanda na koo!

Mi sitaki kusikia Habari za CDM maana kila ck wao wanaogombana na matusi mitandaoni! Am fed up with CDM
 

wewe kipi ulichofanya cha maana katika jamii>? si bora yeye amefanya hata hayo machache? goo goo zzk wewe ni Martin wa bongo
 
ungemfananisha zitto na simbilisi kwa tabia ningejua unauwezo mzuri wa kufanya komparizon. ufanano kama wa tabia za mbwa kuzifanana za binadamu.
 
Inasikitisha nakuhuzunisha kuona mkidhalilisha jina na yale aliyoacha Martin Luther kwa kufananishwa na zzk asiynkua na msimamo.
 
acha matusi kumbuka kila goti litapigwa na kila neno litahesabiwa

Unaleta ngonjera kwenye mambo ya msingi? Cdm haienda kama unavyotaka wewe isipokuwa wanachama wake wanavyotaka.kiufupi tu kama umetumwa kamwambie aliyekutuma kuwa manachama wa cdm hawana imani naye,wanataka kamanda wa kweli anayeuchukia ufisadi na mafisadi na asiye na urafiki nao hata kidogo.pia mtu asiye mnafiki anayeweza kuwatetea na kuwapigania makamanda na si mtu aliyeshindwa tu kulaani MAUAJI YA MAKAMANDA SOWETO,KULAANI MIPANGO MIOVU YA KUBAMBIKIA WATU UGAIDI..Kumbuka star tv wakati mwigulu anaikashifu cdm alionekana kufurahia kwa sababu cdm si chama chake hivyo hakimuhusu.sasa unategemea ataaminiwa na nani? poleni sana magamba ,kwetu kumjua adui ni nusu ya ushindi.
 
wewe kipi ulichofanya cha maana katika jamii>? si bora yeye amefanya hata hayo machache? goo goo zzk wewe ni Martin wa bongo

Ana tofauti gani na mr dhaifu? wote watalii tu.MARTIN LUTHER ALIKUWA MTU MWENYE MSIMAMO USIOTILIWA SHAKA HUWEZI KUMLINGANISHA NA HUYU WAKO UNAYEMPAMBA KIUDWANZI DWANZI,unadhani kwa huu weehu wako unamsaidia huyo msaliti?
 
Martin Luther King alikuwa motivated na Imani yake ya Dini...ambayo by far ni tofauti na ya Malcolm X ambaye hakuwa na dream ila alikuwa na maamuzi ya kutumia nguvu.Je Zitto ataweza share imani ya Luther King ili wafanane?
 
kamuulize dk kama ni kweli au c kweli that is fact

wewe ndie umeweka hizi poroja humu ndani as if you do have some info to share… Ushukuru tu nchi hii haina sherpa sababu ya serikali inaongozwa kivyake vyake… nchi nyingine wangekuita utoe huo ushahidi ulionao la sivyo unalipa mamilioni ya dollars kama hauna ndio hapo sasa unakaribishwa MIREMBE...

Kama una sema kuna ubaguzi toa ushahidi wako; kama unasema kuna uonevu wa aina fulani toa ushahidi sio maneno ya kwenye kahawa… hayo yanajenga CHUKI bila sababu na haki yoyote; Viongozi wameondoka vyama kadhaa ka mantiki zao wenyewe?

Be careful of what you are wishing for… it might be the other way round...

Kama ni hoja zao ziamini pale tu wanapozitoa pale maukwaani; usijaribu kuwafuata majumbani mwao ukawa kama mtumwa wa uncompromised philosophy...

Wanachoandaa Jukwaani ni kwaajili ya wewe kuelewa itikadi zake na chama chake na sio; kutaka kuelewa wanaishije humo ndani ya hicho chama...
 
Ana tofauti gani na mr dhaifu? wote watalii tu.MARTIN LUTHER ALIKUWA MTU MWENYE MSIMAMO USIOTILIWA SHAKA HUWEZI KUMLINGANISHA NA HUYU WAKO UNAYEMPAMBA KIUDWANZI DWANZI,unadhani kwa huu weehu wako unamsaidia huyo msaliti?
acha kuishi kwa hisia hisia kama uko kitandani mda wote na mwanamke. msaliti msaliti, kamsaliti nani? kama kapewa hela ni kodi yetu amechukua ulitaka mafisadi tu ndio waiile?
ila kwa aliyofanya kwa upande wake yametosha na wengije pia wafanye tuone
 

We umeshakula bangi au!
Teh teh teh teh!
That makes kikwete a white supremacy leader!
Teh teh teh teh!
Nyie bangi vuteni lakini msichanganye na pombe za kienyeji! Mtakuja kuua bila kujua!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…